Tlaatlaah
JF-Expert Member
- May 18, 2023
- 8,170
- 11,572
Dawa hizi muhimu za binadamu zinauzika mno mtaani, mijini na vijijini. Soko lake ni pana na kubwa mno kwa sasa. Store hazikai kabisa, mzigo unatembea fasta mwendo wa ngiri kwenye soko la madawa muhimu ya Binadamu.
Wateja wake wengi sana ni watu wa rika zote. Wabishi kwenda hospital wao hujiuguza kimya kimya kwa hisia, haendi kupima hospital wala maabara ili kubaini hali za afya zao kulingana na wanavyojiskia.
Wao wanakua akipita na pisi kali wakishamalizana kunako 6kwa6 break ni pharmacy kuchukua AZUMA na kuanza kuzifakamia.
P2, ni protector ya kuzuia au kuepusha kushika ujauzito usio kwenye Mipango. Hadi wanafunzi wa sekondari wanazo kwenye mikoba yao ya shule.
Wachapa kazi maofisini, pisi kali mitaani na kwenye taasisi za elimu, P2 ndio kitu muhimu zaidi kilichopo kwenye mikoba yao.
Kuna wakati ziliadimika kidogo pisi kali dogodogo za shule zikaanza kuopt ufirauni eti kukwepa ujauzito kwa mbele.
Kiufupi hizi bidhaa tiba za binadamu zinafanya vuzuri sana sokoni kwa sasa.
Sasa sijui UTI sugu, ugumba na utasa miongoni mwa vijana wengi wasaka watoto kwa sasa bila mafanikio, unaweza kutokana na ufakamiji dawa hizi kiholela.
Una maoni gani..
Wateja wake wengi sana ni watu wa rika zote. Wabishi kwenda hospital wao hujiuguza kimya kimya kwa hisia, haendi kupima hospital wala maabara ili kubaini hali za afya zao kulingana na wanavyojiskia.
Wao wanakua akipita na pisi kali wakishamalizana kunako 6kwa6 break ni pharmacy kuchukua AZUMA na kuanza kuzifakamia.
P2, ni protector ya kuzuia au kuepusha kushika ujauzito usio kwenye Mipango. Hadi wanafunzi wa sekondari wanazo kwenye mikoba yao ya shule.
Wachapa kazi maofisini, pisi kali mitaani na kwenye taasisi za elimu, P2 ndio kitu muhimu zaidi kilichopo kwenye mikoba yao.
Kuna wakati ziliadimika kidogo pisi kali dogodogo za shule zikaanza kuopt ufirauni eti kukwepa ujauzito kwa mbele.
Kiufupi hizi bidhaa tiba za binadamu zinafanya vuzuri sana sokoni kwa sasa.
Sasa sijui UTI sugu, ugumba na utasa miongoni mwa vijana wengi wasaka watoto kwa sasa bila mafanikio, unaweza kutokana na ufakamiji dawa hizi kiholela.
Una maoni gani..