Aziz Ki hatakuja kuuzwa Wydad AC

Aziz Ki hatakuja kuuzwa Wydad AC

Wydad hawawezi kumnunua mchezaji kwa pesa ndefu na kutekeleza masharti ya kiduwanzi wanayopewa na Yanga halafu wategemee kumuandaa kwa wiki mbili tu kabla ya mashindano makubwa kama ya CWC kuanza na wakati huo huo anayetaka kumleta wanataka kumtimua muda wowote.
Yan makolo ni wachawi nyie inafika kipindi mnashindwa kujificha mnaamua kuuonesha wazi uchawi wenu. Haya ona sasa hii aibu yako sijui utaificha wapi?
 
Mbumbumbu mtatoka usingizini lini?

Hili ni pigo lingine la kihasibu.

Utabiri wako umetimia mkuu

Usipoteze kapu lako la uganga😂


Umewahi kuwaza mleta mada ndio angekua mgawa ridhiki?

Yan makolo ni wachawi nyie inafika kipindi mnashindwa kujificha mnaamua kuuonesha wazi uchawi wenu. Haya ona sasa hii aibu yako sijui utaificha wapi?
Nilikuwa sahihi kabisa. Sababu kuu iliyokuwa inakwamisha Aziz Ki kuuzwa Wydad haipo tena. Uto wamesubiri hadi Mokwena kafungishwa virago ndiyo wamekubali kumuuza Mr. Mobetto.

Halafu muache hii tabia ya kukaa kimya mtu anapoleta mada, mnakuja kuibuka kutoka vichakani baadae.

 
Haya mkeka huu hapa. Mkawa mnadanganyana kauzwa kwa karibia bilioni 2. Yaani uto

1000085213.jpg
 
Nilikuwa sahihi kabisa. Sababu kuu iliyokuwa inakwamisha Aziz Ki kuuzwa Wydad haipo tena. Uto wamesubiri hadi Mokwena kafungishwa virago ndiyo wamekubali kumuuza Mr. Mobetto.

Halafu muache hii tabia ya kukaa kimya mtu anapoleta mada, mnakuja kuibuka kutoka vichakani baadae.

View attachment 3346430
kwa nini haya mambo mkuu haujayaeleza tangu ulipotoa post yako mwaka jana?
 
Hii ndio source ya kuleta JF? Siyo market transfer?

Yani watu na akili zetu source yetu iwe Micky? Kweli unetudharau kwa kiwango hiki?

Usije ukaweka akili yako ukaamini habari yoyote kuhusiana na Yanga. Amini habari nyingine anazotoa ila sio kuhusiana na Yanga.

Kuna watu Uzi zao hua zinapindia mwishonii.

Kiko wapi

Hawa jamaa nyuzi habari zao sijui huwa wanatoa wapi.
Ila uto mnajinadi kabisa mko smart halafu bado mnaamini Aziz Ki anaweza kuuzwa karibia shilingi bilioni 4. Inahuzunisha kwa kweli....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom