Aziz Ki hatakuja kuuzwa Wydad AC

Aziz Ki hatakuja kuuzwa Wydad AC

Shida yako ni source au kujua kama mimi ndiyo Micky? Mbona unajiumauma kama vile umekutwa katikati ya tendo la nyeto.
Shida ushaijua mzee, acha mipasho leta source ya uhakika. Walau hata klabu mojawapo kutoa tamko sio "niamini mimi" wa instagram.
 
Shida ushaijua mzee, acha mipasho leta source ya uhakika. Walau hata klabu mojawapo kutoa tamko sio "niamini mimi" wa instagram.
Umetoka kuulizia source ambayo umeshapewa, ukaja kuuliza kama mimi ndiyo Micky, umefikia kutaka "source ya uhakika". Unapoelekea unapajua wewe mwenyewe.
 
Shida imeanzia hapo. Thamani ya mchezaji haiji tu kwa sababu ya matamanio yako bali kwa tathmini ya kweli ya mambo mbalimbali yanayomhusu kama vile uwezo, umri, uzoefu, kiwango chake wakati husika, nk. Ukivizingatia hivyo vyote utagundua Aziz Ki hana thamani hiyo mliyokuwa mnatamani kulipwa.

Mashabiki wa Yanga mmejaliwa vitu vingi ila mnakosa common sense na hilo linawasumbua sana.
 
Shida imeanzia hapo. Thamani ya mchezaji haiji tu kwa sababu ya matamanio yako bali kwa tathmini ya kweli ya mambo mbalimbali yanayomhusu kama vile uwezo, umri, uzoefu, kiwango chake wakati husika, nk. Ukivizingatia hivyo vyote utagundua Aziz Ki hana thamani hiyo mliyokuwa mnatamani kulipwa.

Mashabiki wa Yanga mmejaliwa vitu vingi ila mnakosa common sense na hilo linawasumbua sana.
Sawa.
 
Jibu fupi sana. Jibu hoja....
Unapenda mabishano yasiyo na faida yoyote ndgu yangu.

Kujibu kifupi namna hiyo ni kukupa ujumbe kua siendelei na huo mjadala.

Akili ndogo sana inatumika kung'amua hilo mkuu.
 
Unapenda mabishano yasiyo na faida yoyote ndgu yangu.

Kujibu kifupi namna hiyo ni kukupa ujumbe kua siendelei na huo mjadala.

Akili ndogo sana inatumika kung'amua hilo mkuu.
Tuendelee bana! Mabishano yetu yana faida katika kujua mbivu na mbichi. Tumedanganywa sana hapo kati, hii itasaidia kusafisha upotoshaji uliokuwa umesambaa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom