Aziz Ki hatakuja kuuzwa Wydad AC

Aziz Ki hatakuja kuuzwa Wydad AC

Msimu ujao bwana nategemea fagio kubwa sana kuna watu wameshaitumikia sana yanga hebu wakatafute changamoto pengine ikiwemo Aziz/Chama/Farid Musa/Yao kwasi pancha/bakari nondo/Kenedy Musonda/komein aboubakary/Aucho
 
Msimu ujao bwana nategemea fagio kubwa sana kuna watu wameshaitumikia sana yanga hebu wakatafute changamoto pengine ikiwemo Aziz/Chama/Farid Musa/Yao kwasi pancha/bakari nondo/Kenedy Musonda/komein aboubakary/Aucho
Aucho bado hana replacement, Mwamnyeto pia tusikurupuke hao wengine waende
 
Mpira wa Tanzania ni ngumu watu kujadili bila kutukanana aisee kuongelea mpira kistaarabu ni ngumu kabisa..
 
Aucho bado hana replacement, Mwamnyeto pia tusikurupuke hao wengine waende
Akitoka replacement itapatikana
Ni either formation ya timu ibadilike ama tuendelee kuwa tegemezi wa aucho mpaka akikosekana tuwe tunavuja vibaya sana kitu ambacho binafsi nakikataa aheri tuvuje tu tujue moja badae itakaa sawa
 
sawasawa uwe unajiridhisha kama hivyo ndio unaleta mada mkuu

muda umeanza kusema jambo

😂😂Jf kuna utitiri wa Wahasibu hadi sio poa.

Habari ndugu 👋
Nilikuwa sahihi. Mambo yamebadilika na Yanga kulegeza kamba baada ya mtu waliyetaka kumkomoa kuondoka pale Wydad.

Sidhani kama Wydad wako serious tena na Club World Cup, naona wanajipanga zaidi kwa msimu ujao. Tukumbuke pia Aziz Ki mwakani atakuwa anacheza CAF Shirikisho, "kombe la kina mama, yaani UMISETA, yaani netball" kama alivyosema Mnyambo wa kyerwa zamani akijulikana kama @Ngara23
 
Mkuu ulikosea sana kuona Hawa utopolo Wana uwezo wa kumbakisha huyu jamaa ..walijaribu jaribu kwa kufanya lobbying na kukusanya matajiri wa kumlipa na mke juu, ila jamaa akaona hapa atakuja kua kama mrisho ngassa..sasahivi Yuko angani anaitafuta Casablanca...
 
Kwani nimewahi kusema sifuatilii habari za Yanga?

Na uzi tayari unasema Mokwena alishaonyesha kumtaka Aziz Ki toka baada ya mechi ya Mamelodi ila viongozi wa Yanga wakaapa hawatampa kisa dharau wanazodhani alizionyesha ingawa wote tunajua hiko ni kisingizio tu maana Yanga haina utamaduni wa kumuachia mchezaji kwa amani.
Unapata tabu ukiwa wapi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom