Aziz Ki hatakuja kuuzwa Wydad AC

Aziz Ki hatakuja kuuzwa Wydad AC

Kwa akili zako lazima usahau sio kosa lako, ila uzuri JF inatunza risiti kasome comments zako na zangu halafu utaona nani aliyeanza kuzungumzia tamaduni kwenye maswala ya usajili.
Nasimama na nilichosema katika mada yangu. Mengine hayo ya kina Kibu nakuachia wewe uliyeyaleta
 
Kamuuze Kibu au Panzi kama watawakubali
Au hapo umbumbumbuni hakuna wachezaji wanaotoka kucheza nje

Mnataka tuwauze ili tusiwafunge 5
Haya nayo malimbukeni bana...mlishachezea 5 mkala 6 mkala 4 za kutosha...hii ndo tofauti yetu na nyie malimbukeni....
Nyie ni mabinafsi ndo maana mayele akaondoka freee mamburura nyie...roho mbaya chuki husda....
Sfr hii mtafungwa 10 na mnyama
 
Haya nayo malimbukeni bana...mlishachezea 5 mkala 6 mkala 4 za kutosha...hii ndo tofauti yetu na nyie malimbukeni....
Nyie ni mabinafsi ndo maana mayele akaondoka freee mamburura nyie...roho mbaya chuki husda....
Sfr hii mtafungwa 10 na mnyama
Mayele kauzwa 1 billion
Feisal kauzwa million 700
Mzize na Aziz ki watauzwa 5bilions
 
Haya nayo malimbukeni bana...mlishachezea 5 mkala 6 mkala 4 za kutosha...hii ndo tofauti yetu na nyie malimbukeni....
Nyie ni mabinafsi ndo maana mayele akaondoka freee mamburura nyie...roho mbaya chuki husda....
Sfr hii mtafungwa 10 na mnyama
Mayele aliondoka bure?
 
Nafikiri hizi stori za Aziz Ki kuuzwa Wydad tuzizike rasmi na tuachane nazo.

Yanga haijawahi kutaka kumuachia Aziz Ki na kitendo cha aliyekuwa kocha wa Mamelodi, Rulani Mokwena kumsogeza na kuanza "kumnong'oneza" baada ya ile mechi ya robo fainali kati ya Mamelodi na Yanga ilichukuliwa kama ishara ya dharau kwa Yanga na ikawapa hasira, kiburi na kisingizio cha kuapa kwamba hawatakuja kumuuza kwa Mamelodi au popote pale Mokwena atakapokuwa.

Harakati za kumuozesha kwa Hamisa Mobetto zilikuwa zina nia hiyo hiyo ya kumnasa katika tundu bovu. Sasa hivi Aziz Ki anajinenepea tu, hana habari za Club World Cup wala nini.

Mokwena mwenyewe amekalia kuti kavu huko Wydad, muda wowote kibarua chake kinaota nyasi.

Ninachoona siyo tu Yanga wamekwepakwepa fursa za kumuachia Aziz Ki kwa Wydad, ila pia wametoa masharti magumu yasiyotekelezeka ili tu dili lijifie. Kiufupi wanataka wapigiwe magoti huku wakiwa na dhamira ya dhati ya kutomuuza.

Club World Cup inaanza mwezi June, Wydad hawawezi kumnunua mchezaji kwa pesa ndefu na kutekeleza masharti ya kiduwanzi wanayopewa na Yanga halafu wategemee kumuandaa kwa wiki mbili tu kabla ya mashindano makubwa kama ya CWC kuanza na wakati huo huo anayetaka kumleta wanataka kumtimua muda wowote.

Tufunge stori za Aziz Ki. Huyu tupo naye hapa hapa hadi kiama.
Aishi miaka mingi mzee Rage ! Kiama kimefika kama ulivyosema
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom