Man Ngosha
JF-Expert Member
- May 2, 2012
- 219
- 69
yanga hawana timu, wana majina makubwa tu, kwa hiyo Leo kichapo kwa yanga hakikwepeki
Yanga 2-0 Azam.Hutaki unaacha.
Pengo la JAJA litaonekana leo! TAMBWE ana nguvu laini mno.
sitaki na naacha.
Hahaaaa,tuombee na kule kwingine kuwe hivi... 2-0