Azam vs yanga updates

Azam vs yanga updates

Pukudu naona Nyoni yupo ndani kwa hiyo unamaana yanga wanashinda??

We utaona boko la goal litatoka kwa Nyoni!! Siku ile wameuza mechi wakamfanya Jaja aonekane bonge la player
 
Last edited by a moderator:
Hilo goli la Azam, anatafuta lenu simba. Akifunga la pili hilo litakuwa lenu simba mkae sawa.
Halafu sisi tuna bahati mbaya na wachezaji tunaowaacha sijui huwa tunaachana nao vibaya, Mgosi alituliza siku na Mtibwa, Salum Kanoni akikutana na Simba utafikiri anafanya majaribio ya kusajiriwa Barcelona, Mrwanda, Machaku na Edward Christopher walipokuwa polisi nao ilikuwa ni balaa sasa tumeongeza kesi nyingine ya Tambwe.
 
Halafu sisi tuna bahati mbaya na wachezaji tunaowaacha sijui huwa tunaachana nao vibaya, Mgosi alituliza siku na Mtibwa, Salum Kanoni akikutana na Simba utafikiri anafanya majaribio ya kusajiriwa Barcelona, Mrwanda, Machaku na Edward Christopher walipokuwa polisi nao ilikuwa ni balaa sasa tumeongeza kesi nyingine ya Tambwe.

Bado kuna Kiemba Azam na Chanongo Stand Utd...
 
Azam wanajitahidi kufika mara kwa mara kwenye lango la Yanga. Defence ya Yanga iko suspect
 
Halafu sisi tuna bahati mbaya na wachezaji tunaowaacha sijui huwa tunaachana nao vibaya, Mgosi alituliza siku na Mtibwa, Salum Kanoni akikutana na Simba utafikiri anafanya majaribio ya kusajiriwa Barcelona, Mrwanda, Machaku na Edward Christopher walipokuwa polisi nao ilikuwa ni balaa sasa tumeongeza kesi nyingine ya Tambwe.

Tambwe hakuwa mchezaji wa kuachwa, hasa kipindi hiki timu haifanyi vizuri.
Simba mmechemsha sana, mtamkumbuka na ana kisirani yule atafanya vizuri Yanga mpaka mjute.
 
Yanga beki yao ya kushoto haijatulia kabisa, kama ilivyo kwa azam.
 
Halafu sisi tuna bahati mbaya na wachezaji tunaowaacha sijui huwa tunaachana nao vibaya, Mgosi alituliza siku na Mtibwa, Salum Kanoni akikutana na Simba utafikiri anafanya majaribio ya kusajiriwa Barcelona, Mrwanda, Machaku na Edward Christopher walipokuwa polisi nao ilikuwa ni balaa sasa tumeongeza kesi nyingine ya Tambwe.

Hahaaaaaaa na bado
 
Back
Top Bottom