Kipigo kingine kwa yanga leo.
yanga 0 azam 3
Mtibwa 1 Stand Utd Chama la wana! 1 .
ni wanazi wa jangwani??
Wakereketwa kabisa! Bora na Kally Ongala hayupo! Ni wanaz wa Yanga.
Mtibwa 1 Stand Utd Chama la wana! 1 .
Sasa Stand utd wamefikisha points 10 daaaah kwaiyo Simba tumeshuka hadi nafasi ya 10 na points zetu 9 hii haikubaliki hata kidogo nafasi ya 10 kati ya timu 14?
Mkuu naomba unijibu, mechi ya 'chama la wana' imeisha?
Imeisha moja moja, SASA tuko juu ya Simba
Jifunzeni kwa Yanga, jioni ya leo mtaona manufaa ya mabadiliko. Ukimchekea nyani (Phiri) utavuna mabua (Simba itashuka daraja).
Leo tunampiga lambalamba goli 3-0 then tunakamata usukani wa vpl hadi kuchukua ubingwa