Azam vs yanga updates

Azam vs yanga updates

Wakereketwa kabisa! Bora na Kally Ongala hayupo! Ni wanaz wa Yanga.
Kwani hao uliowataja si ndo wale ambao walichukua mzigo wa pesa kutoka kwa simba halafu wakafungisha goli tatu????
 
Mkuu kutia timua makocha sio tiba mkuu alafu for the records Simba haiwezi shuka daraja kamwe

Round ya kwanza mechi 6 sare. Round ya pili mechi 6 kichapo. Ikiwemi mechi ya Wanaume Yanga. Mtamaliza na pointi 12. Bye bye VPL.
 
Mkuu kutia timua makocha sio tiba mkuu alafu for the records Simba haiwezi shuka daraja kamwe

Tusubiri mechi ijayo, naamini kama Simba itatoka sare basi Phiri hatakuwa nasi tena hadi miaka ya baadaye mithili ya Sing'a: sijui kama yuko hai huyu na kama kafa + RIP.
 
Tusubiri mechi ijayo, naamini kama Simba itatoka sare basi Phiri hatakuwa nasi tena hadi miaka ya baadaye mithili ya Sing'a: sijui kama yuko hai huyu na kama kafa + RIP.

Mkuu mechi yetu inayofuata ni dhidi ya Mgambo JKT kule Tanga mkwakwani tunaenda kule kule kuwapigisha kwata
 
Mkuu mechi yetu inayofuata ni dhidi ya Mgambo JKT kule Tanga mkwakwani tunaenda kule kule kuwapigisha kwata
Ila kumbuka tangu mgambo jkt wamepanda daraja mechi zote ambazo simba imeifuata mgambo mkwakwani simba imeambulia point moja tu!!!
 
Mkuu mechi yetu inayofuata ni dhidi ya Mgambo JKT kule Tanga mkwakwani tunaenda kule kule kuwapigisha kwata

Maweee, kule mwisho wa Phiri! Aandae passport yake na tiketi ya Falcon bus: Dar - Lusaka, najua hata tiketi ya Fast Jet mtasema 'he is not entitled'.
 
Kandambili wamejaa huku vibanda umiza,wakati Mzee akilimali alisema waigomee Azam Tv
 
Mbuyu twite,canavaro na Tambwe wanamzidi zitto kabwe umri so wanaweza kugombea urais wa Tanganyika.
 
Back
Top Bottom