Azam vs yanga updates

Azam vs yanga updates

Matokeo ya leo kati ya Azam na Yanga ni mazuri sana kwa Simba kwa vile yanaacha pengo dogo la point 5 tu kati yake na hizi timu mbili na uwezekano wa kuzi-offset ni mkubwa kwani ligi hata nusu haijafika.
So, nawashangaa wanasimba wanaokata tamaa sasa na kuanza kulilia kichwa cha Phiri. Katika ligi hii hakuna kocha anayemzidi Phiri kiuwezo, huo ndiyo ukweli wenyewe.

Kwa upande wa Azam, kutokupata ushindi leo is a lost opportunity kwa sababu wamecheza na Yanga ambayo ni dhoofu (weakened). Ni dhoofu kwa sababu benchi la ufundi lote ni jipya na line up yao ilikuwa na wachezaji kadhaa wapya, so Yanga was there for the taking today but Azam let the chance slip!

Sina uhakika sana kama Azam watapata nafasi kama hii tena msimu huu dhidi ya Yanga kwani Yanga hii ikikaa pamoja kwa muda kidogo tu, itakuwa vigumu sana kwa timu nyingi kuisimamisha.

Mtibwa siwapi nafasi sana... I can see them fizzling out in the course of the season kwa vile hawana depth na pia hawawezi ku-handle pressure iliyopo kwenye run-in stage ya marathon league kama hii.

So, based on my very simple SWOT, msimamo wa top 3 utakuwa hivi mwishoni mwa ligi:

Bingwa: Azam (35%) / Simba (20%) / Yanga (45%)
2nd spot: Azam / Simba / Yanga
3rd spot: Azam / Simba / Yanga

Una akili nyingi sana wewe. Mungu akubariki sana.
 
Uchambuzi wako una kasoro ya kutoihusisha kabisa Mtibwa ambayo ina pengo la pointi nane dhidi ya Simba. Maana yake ni kwamba hata kama Simba itazifikia zote Azam na Yanga, bado itakuwa ni nyuma ya Mtibwa. Huenda sare ya leo ni mbaya zaidi kwa Simba kuliko kama timu mojawapo ingefungwa, kwa sababu hakuna kati ya hizo iliyopunguza pengo la pointi zake na Simba. Wenye uelewa wa hesabu za uwezekano (probability) watajua kwamba uwezekano wa Simba kufanya vizuri kuanzia sasa, huku Azam, Yanga na Mtibwa zote kwa pamoja zikifanya vibaya ni chini ya asilimia hamsini. Aidha, utabiri wako hauzizingatii kabisa timu kama Ruvu JKT na Coastal zilizo juu kwenye msimamo wa Ligi kuliko Simba. Ingawa zenyewe zinatofautiana na Simba kwa pointi kiduchu, uwezekano wa zote hizokufanya vibaya huku Simba pekee ikiendelea kufanya vizuri naoni mdogo pia. Ni kweli timu zote hizo zitapokutana zenyewe kwa zenyewe huwa zinaji-offset, lakini bado kufungwa kwa mmoja ni kushinda kwa mwenzake. Namna pekee ambayo Simba inaweza kupata nafasi za juu ni kwa mkono usioonekana kuingilia matokeo ya kila mechi ili yaisaidie Simba, mpaka itapofanikiwa kuingia kwenye kundi la watatu wa juu. Lisilowezekana kwa mwanadamu, kwa Mungu lawezekana.

Hiyo ni analysis yangu - siyo rule of thumb, kwa hiyo you are rightly entitled to your opinion.

Basis ya analysis yangu ni vitu vya msingi kwenye SWOT framework yangu.

Nikianzia kwa Mtibwa, kuna paragraph nimeelezea kwa nini siwategemei kuwepo hata kwenye tatu bora.

Kuhusu Coastal, etc sababu za kutowa-consider ni kama zile za Mtibwa. Pia kumbuka kuwa msimu bado hata nusu haujafika na mara nyingi "brutal reality" catches up with most of these so called "small teams" kadri msimu unavyosogea mbele.

Simba wako vizuri sana technically (thanks to the genius of Phiri) ingawa sina uhakika sana kwa upande wa uongozi wao. Wasipobadili benchi la ufundi wanaweza kufanya vizuri sana na hata kuchukua ubingwa, ingawa nawapa probability ndogo kulinganisha na Azam & Yanga.

Azam na Yanga wao wana depth ya kutosha kwenye vikosi vyao na kiufundi hawatofautiani sana. Kwa nini nimewapa Yanga nafasi kubwa kuliko Azam? Kwa vile trend ya miaka ya karibuni imeonyesha Yanga haichii ubingwa ukae "porini" kwa zaidi ya msimu mmoja - na hiyo ndiyo itakuwa motivating factor.

Ila kuelekea mwishoni itakuwa ni hotly contested 3-horse title race (i.e Azam, Simba & Yanga).
 
Hiyo ni analysis yangu - siyo rule of thumb, kwa hiyo you are rightly entitled to your opinion.

Basis ya analysis yangu ni vitu vya msingi kwenye SWOT framework yangu.

Nikianzia kwa Mtibwa, kuna paragraph nimeelezea kwa nini siwategemei kuwepo hata kwenye tatu bora.

Kuhusu Coastal, etc sababu za kutowa-consider ni kama zile za Mtibwa. Pia kumbuka kuwa msimu bado hata nusu haujafika na mara nyingi "brutal reality" catches up with most of these so called "small teams" kadri msimu unavyosogea mbele.

Simba wako vizuri sana technically (thanks to the genius of Phiri) ingawa sina uhakika sana kwa upande wa uongozi wao. Wasipobadili benchi la ufundi wanaweza kufanya vizuri sana na hata kuchukua ubingwa, ingawa nawapa probability ndogo kulinganisha na Azam & Yanga.

Azam na Yanga wao wana depth ya kutosha kwenye vikosi vyao na kiufundi hawatofautiani sana. Kwa nini nimewapa Yanga nafasi kubwa kuliko Azam? Kwa vile trend ya miaka ya karibuni imeonyesha Yanga haichii ubingwa ukae "porini" kwa zaidi ya msimu mmoja - na hiyo ndiyo itakuwa motivating factor.

Ila kuelekea mwishoni itakuwa ni hotly contested 3-horse title race (i.e Azam, Simba & Yanga).
Sawa, ila tusisahau pia kuwa mpira unadunda, kwa maana ya kuwepo matokeo yasiyotabirika. Husemwa kuwa 'kama unatabirika, basi si mpira huo' (it is not football if it is predictable). Huenda kutotabirika huko ndiko kutakozinufaisha hata hizo timu ndogo tusizozipa nafasi licha ya kuwa juu hivi sasa.
 
Hiyo ni analysis yangu - siyo rule of thumb, kwa hiyo you are rightly entitled to your opinion.

Basis ya analysis yangu ni vitu vya msingi kwenye SWOT framework yangu.

Nikianzia kwa Mtibwa, kuna paragraph nimeelezea kwa nini siwategemei kuwepo hata kwenye tatu bora.

Kuhusu Coastal, etc sababu za kutowa-consider ni kama zile za Mtibwa. Pia kumbuka kuwa msimu bado hata nusu haujafika na mara nyingi "brutal reality" catches up with most of these so called "small teams" kadri msimu unavyosogea mbele.

Simba wako vizuri sana technically (thanks to the genius of Phiri) ingawa sina uhakika sana kwa upande wa uongozi wao. Wasipobadili benchi la ufundi wanaweza kufanya vizuri sana na hata kuchukua ubingwa, ingawa nawapa probability ndogo kulinganisha na Azam & Yanga.

Azam na Yanga wao wana depth ya kutosha kwenye vikosi vyao na kiufundi hawatofautiani sana. Kwa nini nimewapa Yanga nafasi kubwa kuliko Azam? Kwa vile trend ya miaka ya karibuni imeonyesha Yanga haichii ubingwa ukae "porini" kwa zaidi ya msimu mmoja - na hiyo ndiyo itakuwa motivating factor.

Ila kuelekea mwishoni itakuwa ni hotly contested 3-horse title race (i.e Azam, Simba & Yanga).


Kwa jinsi ulivyofanya analysis, kuna kila sababu ya kukupongeza. Una akili sana ya mpira.
Ninakubaliana kwa kiwango kikubwa na kile ulichokielezea maana kadiri msimu unavyosonga ndivyo kile unachokiita brutal reality kitadhihirika kwa timu aina ya Mtibwa.

Kama ulivyosema, Simba wanaonekana wako vizuri kiufundi kuliko kiutawala. Wakitulia wanaweza kushangaza wengi. Na kitu kizuri kwa Simba ni kuwa 'inaweza' kuzifunga timu zote shindani kama Yanga na Azam kuliko Mtibwa kuzifunga tena Yanga, Simba au kupata matokeo mazuri dhidi ya Azam.

Kwa jinsi mambo yalivyo naipa nafasi zaidi Azam 35%, Yanga 30% na Simba 25% kuwa bigwa wa VPL
 
Back
Top Bottom