ndetichia
JF-Expert Member
- Mar 18, 2011
- 27,769
- 6,585
Azam mtatoka jamani mbona mnaenda kupokea aibu Leo
Wana azam mmejipanga??kunyonya koni
acha mboyoyo mingi weka updates
Azam mtatoka jamani mbona mnaenda kupokea aibu Leo
Wana azam mmejipanga??kunyonya koni
acha mboyoyo mingi weka updates
Mpira umekuwa na presha sana
Chelsea kasawazisha 1-1
Chelsea kasawazisha 1-1
kheeee bora wakose tu..Yanga wanakosa goli.
Pole dada, lile lilikuwa goli la wazi kabisa.
Bora maana hali haikuwa nzuri.
Hadi mwisho wa mchezo itakuwa Azam 3- Yanga 2, over
Dada kumbe wewe ni mdau wa darajani....!!
Oscar joshua yellow card