Mlalamikaji daily
JF-Expert Member
- May 19, 2014
- 997
- 2,320
Kama unafuatilia Azam Tv kwa sasa..
Zile habari Hasi za chadema mfano wale G55 ndio wanazitangaza kwa urefu sana.
Lakini habari zenye Chanya kwa chadema huwa wanazitangaza kwa ufupi sana au kuzikata kata..
Tena zile habari muhimu za Chadema hawazipost kabisa .
Mfano tukio la kukamatwa kwa Mh Heche Azam wamekaa kimya kana kwamba hakuna kilichotokea..
Hata ule waraka wa TEC kule Azam TV haukuguswa kabisa ..
Chadema ni wakati wenu kuwa na online TV yenye nguvu sasa na page zenu za mitandao ya kijamii ziwe Active kuliko wakati mwingine wowote
Zile habari Hasi za chadema mfano wale G55 ndio wanazitangaza kwa urefu sana.
Lakini habari zenye Chanya kwa chadema huwa wanazitangaza kwa ufupi sana au kuzikata kata..
Tena zile habari muhimu za Chadema hawazipost kabisa .
Mfano tukio la kukamatwa kwa Mh Heche Azam wamekaa kimya kana kwamba hakuna kilichotokea..
Hata ule waraka wa TEC kule Azam TV haukuguswa kabisa ..
Chadema ni wakati wenu kuwa na online TV yenye nguvu sasa na page zenu za mitandao ya kijamii ziwe Active kuliko wakati mwingine wowote