Azam Tv mihemko itawapeleka shimoni

Azam Tv mihemko itawapeleka shimoni

Kwa anayejua taaluma ya uandishi habari ilivyo akisoma hili bandiko lako atasikitika sana kiwango cha juu cha ujinga ulichoonyesha. labda mimi nikuongoze kidogo, kwenye fani hiyo kuna kitu kinaitwa news judgement,chombo cha habari ndicho kinaamua habari ni ipi baada ya kuzingatia vigezo mbalimbali.
Bora mie nisiwe mwandishi kwa kusomea nikakosea kuliko wewe mwandishi wa kusomea uliye kilaza.

Wewe na viazi wenzio mliosomea uandishi mna faida gani zaidi ya kulamba sole za viatu vya watu? Yaani unaweza ukasimama mahala eti ukajitangaza ni mwandishi kutoka Tz na ukasubiri nafasi ya heshima? Narudia tena, sijasomea uandishi lakini "nyinyi wa siku hizi" ni uchafu.

Nikusaidie tu, kesho ni jmosi, fungua TV yako asubuhi mapema angalia walau Star TV na Azam Two utaona wanachokisema wenzako kuhusu "upuuzi" wenu mnaoita habari. Ukitaka nikukumbushe mie usijari, nitumie namba yako ya simu ntakucheki na huko utapata majibu.
 
Mkuu samahani una elimu ganj ? Kama umesoma kwa Level yeyote basi hukuelemika. Azam ni chombo cha biashara sio media ya taifa kama hawakumkashifu mtu basi huwezi kuwapangia ila TBC ya Trump wale sawa
Hayo ulio uliza mbona haya husiani na elimu yangu. inaelekea mkuu ni kibogoyo wa ubongo nimezungumzia utaifa huwezi kuua taifa kwa kuweka mbele maslahi yako ya biashara Taifa likiangamia utamuuzia nani? Ninyi ndio mnao uza ngada hamjali nani anapotea ili mradi muingize kipato chenu. sasa hv tupo na ninyi sambamba.
 
Tv yangu watangazaj wangu umeme wangu msinipangie wapi kwa kurusha na wapi kwa kuangalia
 
Biashara ya Media walianzisha wao, mtaji ni wao, watangazaji na watumishi wote wanawalipa wao, so unataka uwapangie cha kuripoti? Wao ndio wenye kujua watangaze nini na waache nini!
Usiwapangie.
Azam wanajiamini!
Leta cheti chao cha usajiri ili tuone majukumu yao ni yapi kwa Tz. Na hakuna anayewapangia as tunaamini sie tunawakumbusha tu yale yaliyo kwenye kibari chao cha kazi. Kama kibari uliwapa wewe pia tupe tuone ni nini jukumu lao wakiwa Tz.
 
Hayo ulio uliza mbona haya husiani na elimu yangu. inaelekea mkuu ni kibogoyo wa ubongo nimezungumzia utaifa huwezi kuua taifa kwa kuweka mbele maslahi yako ya biashara Taifa likiangamia utamuuzia nani? Ninyi ndio mnao uza ngada hamjali nani anapotea ili mradi muingize kipato chenu. sasa hv tupo na ninyi sambamba.
Wanataka kujua elimu za wenzao wakati wao hawajishangai kupitwa uwezo wa akili na wazee walioishia la 10 enzi hizo. Akili ya mtu siyo vyeti na level, kichwa ndo akili ya mtu ilipo.
 
Biashara ya Media walianzisha wao, mtaji ni wao, watangazaji na watumishi wote wanawalipa wao, so unataka uwapangie cha kuripoti? Wao ndio wenye kujua watangaze nini na waache nini!
Usiwapangie.
Azam wanajiamini!
Yawezekana ukawa umesoma lakini huna akili, unaweza ukawa ulielimika pia lakini Mungu alikunyima akili.
 
aliyeanzisha hui uzi atakuwa ni bashite mwenyewe
Hakuna jina baya limewahi kuwepo kuliko jina la "shetani" lakini hakuna vitu vinapendwa na wanadamu walio wengi kama vile vitokavyo kwa "shetani".
Ngoja nikusaidie, jina halina athari. Inategemeana na uwezo wako wa kufikiri.
 
Ungeangalia TBC ambako kodi zetu zinaenda.Azam hata wakirusha taarabu uwachangii chochote ye anaangalia kitakachopendwa na watazamaji
 
Naona mmeridhika, Azam mie nawapenda na ni mdau wenu tokea 2013. Msikubali kuingia kwenye mitego ya wajanja wauza sembe, wapigaji n.k. Siyo enzi za JPM.

Tunawahitaji kama wasimamizi wa weledi wa tasnia yenu, mmekuwa na mmeimarika sana pia. Nawatakia kila lililo jema.
 
Ikifika mda mkaitwa kupewa honyo na makalipio msije kujiuliza wala kulaumu. Kuanza kufanya kazi kama whatsap ama mmegeuka Face book ni kuanza kupoteza "umahiri" wenu. Kwenye hiyo mitandao ya hovyo kule hakuna umahiri, weledi, hekima wala kubalansi. Kule ni kelele, na mihemko tu bila kusahau mapenzi. Kule hakuna utaifa wala taifa, ni ghiriba, udaku, udakuzi na unyambilisi.

Muhaya gani hujui kuandika?
 
Tv ya kwake asipangiwe si kuna tv ya taifa alipoqnzisha alianzisha mwenyewe hakuwa na mtu na kodi analipa mwenyewe
 
Ht itv walianza na ya nape...then ikafata ya baba yako
NI STATION ZA WATU BINAFSI
WANAENDESHA KWA PESA ZAO...USIWAPANGIE CHA KUONYESHA.
mbona tbccm hawakuonesha kbsa ya nape
 
Muhaya gani hujui kuandika?
Mwenzio kauliza eti wanataka kujua viwango vya elimu zetu na tushamjibu na karidhika, sasa na wewe umerudi na mwandiko. Kwahiyo wasiokuwa wahaya ndo hawajuhi kuandika? Wewe mbona umeweza kuandika ama na wewe ni muhaya?

Usiwe unauliza mambo ya hovyo. Mimi nikijua kila kitu "wewe" utafanya kazi gani?
 
Eti magufuli kachukizwa na Heading za magazeti ya leo, Anadai jamaa aliyetoa bastola alifanya hivyo kwa utashi wake , serikali haihusiki na kile alichofanya.
 
wewe nimpumbavu sana kwani tbc haitoshi kuonyesha maigizo yenu ya bandarini???


kila habari muwe nyie tu kwani nyie ndio kina nani
 
Back
Top Bottom