Azam Tv mihemko itawapeleka shimoni

Azam Tv mihemko itawapeleka shimoni

Ny
Mkuu samahani una elimu ganj ? Kama umesoma kwa Level yeyote basi hukuelemika. Azam ni chombo cha biashara sio media ya taifa kama hawakumkashifu mtu basi huwezi kuwapangia ila TBC ya Trump wale sawa
Nyie ndo mnashinda mnazagaa na vyeti mikononi kisa mmesoma, asubuhi unavyo baa, mchana uko navyo sokoni, jioni unaenda navyo kutongozea na usiku unalala navyo kitanda. Nani alikwambia kiwango cha elimu ndo akili? Ingekuwa hivyo usingekuwa wewe na kidigrii chako unazidiwa uwezo kiakili na mzee aliyeishia la 8 tena miaka hiyo.

Ukitaka kwenda shule nenda na usipotaka kwenda pia usiende, akili haiji kwa idadi ya madarasa. Akili inazaliwa, na watu wanazaliwa na akili. Wewe unayetegemea madarasa ndo upate akili nenda kama inaokotwa. Usipoelewa nilichokiandika hamia kwangu maana sina mpishi, na tangia hapo ndipo utakapoelewa uwezo wa akili yako.
 
Ukikuuma anzisha tv yako uweke mapambio ya kumsifia huyo mtu mwanzo mwisho!

Ukute hata kifurushi cha azama unanunua kile cha bei ya chini halafu unataka upangie waanze na nini!
 
Kampelekee yule kichaa wenu mwigizaji iyo hoja yako.

mwambie uyo chizi nchi haiendeshwi kwa maigizo hakuna wajinga kama yeye nchi hii huwezi kudanganya tena kwa mbinu za miaka ya giza.
 
Jana nilishtushwa kuona mnashindwa kujua uzito wa habari, kubalansi, kutawaliwa na mihemko zaidi ya kujua umuhimu wa vipaumbele kwa watu na nchi yetu.

Hakuna namna unaweza kunishawishi nikaelewa kwamba ni bora zaidi kuongelea "personality" tena kwa dakika5 kuliko kuongelea namna nchi yetu inavyoliwa na kuibiwa tukio lililokuwa likimhusisha raisi. Kwamba kukamatwa makontena 20 yenye kuhisiwa yanatoroshwa yakibeba dhahabu si habari nzito kwenu. Kwamba Nape ni habari nzuto na muhimu kwenu kuliko mali na utajiri wa nchi yetu.

Lakini pia, hivi unaanza habari gani kwa siku, ya raisi ama ya aliyefukuzwa uwaziri? Tena mlivyo wa hajabu wakati mkitoa dakika 5 na kukaribisha wazungumzaji kwa tukio la mtu, upande wa pili mnatoa dakika1 halafu mnafukia as if anayeongea ni balozi wa nyumba kumi na kilichokatokea ni kama mtu kutema mate.

Yawezekana hao wanaotuibia mali zetu waliwaambia msiwaoneshe sana ili wananchi wasipige kelele dhidi yao na badala yake muonesheni fulani ili wananchi wapige kelele dhidi ya utawala. Kama na nyie mlikubali hili na mkauvaa mkenge basi anzeni kujichunguza kabla, nchi yetu inaliwa na sote tunajua ila nyie hamuoni kama la kuliwa nchi yetu ni hoja. Mnatakiwa kuelewa hao wezi hawamuibii JPM tu, hawamwibii fulani tu, wanatuibia sisi sote na tunapopoteza wakati wenzenu wanapata ni kuihujumu nchi yetu. Ni kuhujumu serikali kwa kile inachojaribu kukifanya katika maendeleo, msivimbe vichwa mkajiona tayari.

Kwa anayejua taaluma ya uandishi habari ilivyo akisoma hili bandiko lako atasikitika sana kiwango cha juu cha ujinga ulichoonyesha. labda mimi nikuongoze kidogo, kwenye fani hiyo kuna kitu kinaitwa news judgement,chombo cha habari ndicho kinaamua habari ni ipi baada ya kuzingatia vigezo mbalimbali.
 
Azam sio TBC we mleta mda punguza mihemko yaahani mnataka watangaze mambo ambayo yanfurahisha Rais tu hizi sio zama za mawe za kale
 
Jana nilishtushwa kuona mnashindwa kujua uzito wa habari, kubalansi, kutawaliwa na mihemko zaidi ya kujua umuhimu wa vipaumbele kwa watu na nchi yetu.

Hakuna namna unaweza kunishawishi nikaelewa kwamba ni bora zaidi kuongelea "personality" tena kwa dakika5 kuliko kuongelea namna nchi yetu inavyoliwa na kuibiwa tukio lililokuwa likimhusisha raisi. Kwamba kukamatwa makontena 20 yenye kuhisiwa yanatoroshwa yakibeba dhahabu si habari nzito kwenu. Kwamba Nape ni habari nzuto na muhimu kwenu kuliko mali na utajiri wa nchi yetu.

Lakini pia, hivi unaanza habari gani kwa siku, ya raisi ama ya aliyefukuzwa uwaziri? Tena mlivyo wa hajabu wakati mkitoa dakika 5 na kukaribisha wazungumzaji kwa tukio la mtu, upande wa pili mnatoa dakika1 halafu mnafukia as if anayeongea ni balozi wa nyumba kumi na kilichokatokea ni kama mtu kutema mate.

Yawezekana hao wanaotuibia mali zetu waliwaambia msiwaoneshe sana ili wananchi wasipige kelele dhidi yao na badala yake muonesheni fulani ili wananchi wapige kelele dhidi ya utawala. Kama na nyie mlikubali hili na mkauvaa mkenge basi anzeni kujichunguza kabla, nchi yetu inaliwa na sote tunajua ila nyie hamuoni kama la kuliwa nchi yetu ni hoja. Mnatakiwa kuelewa hao wezi hawamuibii JPM tu, hawamwibii fulani tu, wanatuibia sisi sote na tunapopoteza wakati wenzenu wanapata ni kuihujumu nchi yetu. Ni kuhujumu serikali kwa kile inachojaribu kukifanya katika maendeleo, msivimbe vichwa mkajiona tayari.
Usalama wa nchi no priority 1, Uchumi Priority 2 welfare ni Priority 3, Others Priority 4
 
Mkuu hiyo station inafanya biashara haitegemei ruzuku,sasa wanaangalia habari gani itawapa viewers wengi wacheki na matangazo yao pia. Usisahau kuna television ya taifa, na pia walijisahau kuisifu clouds na wameikorofisha.
TBC wanajua kuwa haina mvuto hata kidogo.
 
TBC IPI???iliyotangaza trump kampongeza jamaaa????eheeeeee bora azam wakweliii
 
Jana nilishtushwa kuona mnashindwa kujua uzito wa habari, kubalansi, kutawaliwa na mihemko zaidi ya kujua umuhimu wa vipaumbele kwa watu na nchi yetu.

Hakuna namna unaweza kunishawishi nikaelewa kwamba ni bora zaidi kuongelea "personality" tena kwa dakika5 kuliko kuongelea namna nchi yetu inavyoliwa na kuibiwa tukio lililokuwa likimhusisha raisi. Kwamba kukamatwa makontena 20 yenye kuhisiwa yanatoroshwa yakibeba dhahabu si habari nzito kwenu. Kwamba Nape ni habari nzuto na muhimu kwenu kuliko mali na utajiri wa nchi yetu.

Lakini pia, hivi unaanza habari gani kwa siku, ya raisi ama ya aliyefukuzwa uwaziri? Tena mlivyo wa hajabu wakati mkitoa dakika 5 na kukaribisha wazungumzaji kwa tukio la mtu, upande wa pili mnatoa dakika1 halafu mnafukia as if anayeongea ni balozi wa nyumba kumi na kilichokatokea ni kama mtu kutema mate.

Yawezekana hao wanaotuibia mali zetu waliwaambia msiwaoneshe sana ili wananchi wasipige kelele dhidi yao na badala yake muonesheni fulani ili wananchi wapige kelele dhidi ya utawala. Kama na nyie mlikubali hili na mkauvaa mkenge basi anzeni kujichunguza kabla, nchi yetu inaliwa na sote tunajua ila nyie hamuoni kama la kuliwa nchi yetu ni hoja. Mnatakiwa kuelewa hao wezi hawamuibii JPM tu, hawamwibii fulani tu, wanatuibia sisi sote na tunapopoteza wakati wenzenu wanapata ni kuihujumu nchi yetu. Ni kuhujumu serikali kwa kile inachojaribu kukifanya katika maendeleo, msivimbe vichwa mkajiona tayari.
Biashara ya Media walianzisha wao, mtaji ni wao, watangazaji na watumishi wote wanawalipa wao, so unataka uwapangie cha kuripoti? Wao ndio wenye kujua watangaze nini na waache nini!
Usiwapangie.
Azam wanajiamini!
 
Jana nilishtushwa kuona mnashindwa kujua uzito wa habari, kubalansi, kutawaliwa na mihemko zaidi ya kujua umuhimu wa vipaumbele kwa watu na nchi yetu.

Hakuna namna unaweza kunishawishi nikaelewa kwamba ni bora zaidi kuongelea "personality" tena kwa dakika5 kuliko kuongelea namna nchi yetu inavyoliwa na kuibiwa tukio lililokuwa likimhusisha raisi. Kwamba kukamatwa makontena 20 yenye kuhisiwa yanatoroshwa yakibeba dhahabu si habari nzito kwenu. Kwamba Nape ni habari nzuto na muhimu kwenu kuliko mali na utajiri wa nchi yetu.

Lakini pia, hivi unaanza habari gani kwa siku, ya raisi ama ya aliyefukuzwa uwaziri? Tena mlivyo wa hajabu wakati mkitoa dakika 5 na kukaribisha wazungumzaji kwa tukio la mtu, upande wa pili mnatoa dakika1 halafu mnafukia as if anayeongea ni balozi wa nyumba kumi na kilichokatokea ni kama mtu kutema mate.

Yawezekana hao wanaotuibia mali zetu waliwaambia msiwaoneshe sana ili wananchi wasipige kelele dhidi yao na badala yake muonesheni fulani ili wananchi wapige kelele dhidi ya utawala. Kama na nyie mlikubali hili na mkauvaa mkenge basi anzeni kujichunguza kabla, nchi yetu inaliwa na sote tunajua ila nyie hamuoni kama la kuliwa nchi yetu ni hoja. Mnatakiwa kuelewa hao wezi hawamuibii JPM tu, hawamwibii fulani tu, wanatuibia sisi sote na tunapopoteza wakati wenzenu wanapata ni kuihujumu nchi yetu. Ni kuhujumu serikali kwa kile inachojaribu kukifanya katika maendeleo, msivimbe vichwa mkajiona tayari.
RadioUhuru
Gazeti la Uhuru
Daily News
Habari Leo
TBC zote(TBC1,TBC2,TBC radio,TBC international)
Zote hizo haziwatoshi,muwe mnaridhika bhana
Yote hayo hayawatoshi
 
Back
Top Bottom