Headcorner
Senior Member
- Nov 26, 2020
- 188
- 277
Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Bodi ya Ligi na Azam TV Limited kwa pamoja wameingia makubaliano ya kuonesha matangazo ya mechi za Ligi Kuu Tanzania Bara kwa muda wa miaka 10 wenye thamani ya Shilingi bilioni 225.6.
Kiasi hicho ni kikubwa zaidi kuwahi kutokea Afrika Mashariki na kuifanya thamani ya soka ya Tanzania kuongezeka.
BINGWA WA VPL kwa misimu mitatu ijayo, atapata TSH MIL 500 kama 'Bonus' kutoka Azam TV
Pia
Mshindi 2: Tsh Mil 250
Mshindi 3: Tsh Mil 225
Mshindi 4: Tsh Mil 200
Kiasi hicho ni kikubwa zaidi kuwahi kutokea Afrika Mashariki na kuifanya thamani ya soka ya Tanzania kuongezeka.
BINGWA WA VPL kwa misimu mitatu ijayo, atapata TSH MIL 500 kama 'Bonus' kutoka Azam TV
Pia
Mshindi 2: Tsh Mil 250
Mshindi 3: Tsh Mil 225
Mshindi 4: Tsh Mil 200