Azam Tv inapoteza mvuto

Azam Tv inapoteza mvuto

Haiwezekani! kama wataanzisha kweli mtandao wa simu huo ujinga hautakuwepo na ukiwepo mtandao wao utakuwa kama Zantel tu na hatimaye utakufa.
kwanini utakufa? Tanzania ina idadi kubwa ya wakristo kwa mujibu wa sensa ya 2012 ni takribani asilimia 65%.

utakuja na hoja ya kwanini tukiangalia mechi kwenye Azam tv tunaambiwa hizo salam na hatuachi kununua wanaosema hizo salam ni wenye dini hiyo si wote huwezi kumsikia Steve moyo au Baraka Mpenja wanazisema.

na hakuna sehemu panapowabana wasitumie salamu za dini fulani.
kwenye mitandao ya simu mzee ni tofauti na king'amuzi huko mtandao unakufa kifo kibaya sana kuliko cha SMART
Azam hawajawahi kuanzisha biashara ikafa.. Wako vizuri kwenye marketing. Sahau!
 
Write your reply... Azam ni udini mtupu
Dini zoote ni ubaguzi......tafakari kwa kina na wala usikurupuke kunitukana.
Kwa mfano: Non Muslims hawaruhusiwi kuingia Holy city of Maka
Picha za Jesus na hata misalaba hairuhusiwi kupelekwa huko Maka.
Hindus,Chritians nk woote wanataratibu zao,hivyo basi muhimu ni kuheshimiana na kuvumiliana
 
Azam ni wakuda sijawahi kuona, sema sisi Watanzania hatuna umoja tungepiga campeni ya kutotumia hivi vingamuzi vyao vya kindezi... Hii mijamaa ni hopeless sana, wametoa chanel ya NASA hii mijamaa iliniboa kishenzi...

Mi mijitu ya Azam ichunguzwe uraia wao, kwanza nahisi inakwepa kodi TRA kachunguzeni hawa wahuni.... Waliniboa walivyo ondoa chanel ya NASA na Discover...
kodi tunalipa.mkuu....tatizo nini ludia tena
 
Hivi, hakuna anayeweza kupambana na Azam, awekeze? Naona kama hawajaamua kufanya biashara hawa jamaa.
 
Kati ya watu waliopromoti Azam TV humu enzi zile nimo. Ila akili ilinikaa sawa na kurejea DSTV bila shuruti na sitaki tena kusikia habari za vingamuzi. Ligi ya ndani haiwezi kunifanya ninunue Azam TV kwanza naangalia vijiweni mechi chache na muhimu.
 
Anaweza.....kinauzwa nadhani 70 wakati azam 100+, DStv bando la chn 19. Angala unapata channel chache lakini mzuri. 160 mnaopenda masinema ya kibongo, wale wa Nigeria 152 sijui Mia hamsin na ngapi, move za kidhungu 139 sijui na 136 etc, taarifa za habar za nje utachoka mwenyewe, wapenda wanyama 182 24/7 angalau kupoteza mda na mambo ya michezo 209/210 na wapenda mieleka current hapa ndio kwao. Kwa kuwa mda wa kuangalia tv sio mwingi nadhani datv Ni best choice. .local channels hamna cha maana , na utamis chochote maana utacipata kwenye magazeti na other means kwenye simu janja yako
DSTV huwezi kuimudu brother kama huna bajeti kubwa.

Kupata channels za sports ni bei ya kununua kisimbusi kingine cha DSTV na unabaki na chenchi
 
Aisee mi nilitaka kununua king'amuzi cha Azam maana nimetumia DSTV muda mrefu na natamani kuona radha ya upande wa pili. Kumbe mambo yenyewe ndio hayo...lol
 
Yahani wamekuwa na udini zaidi ya shetani ndo maana waandishi wa habari wa kikristo wamekimbia.
Mimi naona waisajili kama TV ya kidini tujue.
 
Jamaa wana udini sijapata kuona !!
Nyie wagalatia msio na akili tushawazoe kazi kulalamika tu, akili hamna hata za kujiongeza, ngoja sasa nikutajie wafanyakazi wakristo pale azam , mkurugenzi mkristo, msaidizi mkristo, mkuu wa idara ya habri mkristo, mkuu wa michezo mkristo, tido, Charles , patrick , ivona, mbwa nyie
 
Azam ni wadini hadi kwenye michezo .

Uwanja mzima wa azamu mmejaa misikiti nenda chamazi
Hivi nyie wagalatia msio na akili ni nani aliyewaroga? Hivi ulitaka Yusuf Bakhresa ajenge Manisa? Mbona mnalalamika sana aliyekulazimisha kwenda azam complex ni nani? Si uende kwa gwajima
 
Azam ni kwa ajili ya mpira tu hakuna channel nyingine ninayoangalia
 
Kwa Azam hamna taarifa ya habari,tamthilia zenyewe za uongo uongo tu. Naimiss ITV. Kwa sasa azam chanel yangu ni moja tu Tanzania safari (wanyama)
 
Back
Top Bottom