Azam Tv inapoteza mvuto

Azam Tv inapoteza mvuto

[QUOTE="CHAZA, post: 31737477, member: 114660
Hivi Charles Hillary,Ivona na Mumewe,mifano michache tu,hao wote ni majuba? Kuna watu muna udini sijapata kuona. Taasisi yoyote ambayo ina Waislam kuzidi Wakristo lazima isemwe ni Udini. UDOM,NSSF ni mifano michache. Lakini tasisi hizo hizo zikiwa na watu wengi wa dini nyingine,siyo UDINI. Kuna watu ni wachumia tumbo sana aisee. Kila siku kwa ubinafsi,Waislam wakiwa wengi taasisi yoyote,ni UDINI,Wakristo wakiwa wengi kwa mfano sasa huko NSSF siyo UDINI. Huu ubaguzi hautufikishi POPOTE.
INAKERA SANA HII SCENARIO.
[/QUOTE]
Pamoja na mifano yako ya majina ya kikristo, bado azam wana udini sana. Sio kwenye tv tu, hata biashara zake nyingine. Bakhresa anaingiza imani yake kwenye biashara ambazo wateja wake sio wa din yake tu.
Ningemwelewa angeomba leseni ya kufungua biashara zinazofuata misingi ya dini ya kiislamu. Mwanzoni mimi nilikuwa shabiki mkubwa wa azamfc. Nimeachana nayo kwa sababu ya elements za udini katika uendeshaji wake.
Kitu rahisi ambacho angeweza kufanya ni kuruhusu, kwa mfano ibada za kikristu siku ya jumapili kwa muda mfupi tu. Halafu akaweka sala/ibada ya ijumaa hata siku nzima ya ijumaa.
Kidogo sasa inapokuwa pasaka au krismasi unaona matangazo yenye ladha ya ukristu. Lakini mwanzo, hakuonyesha chochote katika siku hizo muhimu kwa wakristo. Ni muhimu huyu mzee akaangalia hisia za wateja wake kwa ujumla.

Ushauri wa bure tu.
 
Wala sio promo, mie nilikuwa napenda mbc 2, mbc action na mbc max kwa sasa hizo zote na zingine nzuri wameoondoa, halafu gharama bado ziko juu. Huu ni mwezi wa mwisho kulipa ntabaki na dstv tu.
Mkuu utaniuzia kwa bei ya kutupwa bi mkubwa anapata tabu kuangalia sinema zetu kwa majirani nimpatie afurahie maana ananisumbua
 
Sisi wapenzi wa
Let Love Lead, tunahitaji mturudishie channel yetu pendwa ya
Emmanuel TV.
Tumenunua Kisimbusi cha Azam kwa ajiri hiyo tu na Ligi ya TPL.
Bring Back Emmanuel TV.
Please
 
DSTV huwezi kuimudu brother kama huna bajeti kubwa.

Kupata channels za sports ni bei ya kununua kisimbusi kingine cha DSTV na unabaki na chenchi 😂😂
Hawana marketing website nipitie? Hizo sports unaweka kwa msimu then unang'oa kaka.
 
Channel pekee ninayotazama ni Aljazeera nyinginezo ni taka taka kabisaaa
 
Kwanza mnajuwa hii ni PRIVATE SATATION TV haifungamani na kikundi au Dini ya mtu yoyote kama una pesa zako unataka kurusha MATANGAZO LIVE. HATA YA KANISA JUST LIPIA UTARUSHIWA TU ,hizo mnazoziona za waislaam ni Vipindi vinavyo dhaminiwa na wadhamini wengine ni BAKHRESA CO. lts. Kwa hio kama kina ASAS WALIDHAMINI RAMADHAN CUP , na wakristo nao wadhamini KANISA CUP watarusha matangazo TATIZO ZA NCHIN HII WANAFIKIRIA NCHI HII NI MALI YA WAKRISTO , la hasha UKRISTO ULINGIA BAGAMOYO MIAKA 120 ILIOPITA JUST VERY SOON NA UISLAAM UKO AFRICA MASHARIKI KARIBU MIAKA 1000 Uliopita but still WAISLAAM HAWAJASEMA KAMA NCHI HII YA WAISLAAM PEKE YAO WANAJESHIMU DINI NYENGINE ZANZIBAR SULTAN ALITOA ARDHI PAJENGWE KANISA KWA MAPENZI YAKE MWENYEWE alikuwa na uwezo wa kukataa pia NA DAR ESSALAAM SEWA HAJI ALIJENGA HOSP LWA WATU WOTE HAJAJALI WAISLAAM AU WAKRISTO kwa hio propaganda zenu kwa TV AZAM hazina maana ,tokea MWALIMU NANI KAANZISHA KUONESHA LIVE PREMIER LIGI YA TANZANIA NA RUANDA KWENYE TV KILA MIKOA NANI KAMA SIO AZAM ,hata TBC na ITV NA STAR TV HAWANA UWEZO HUO , hakafu kumbuka mwenye TV STAR TV KWAYA NA MAHUBIRI YA KIKRISTO KILA WAKATI MBONA WAISLAAM
HAWASEMI NA PIA AZAM INA LIPIA CHANNEL ZA NJE KWA MIKATABA IKIWA SISI WENYEWE TCRA IAMWEKEA NGUMU AZAM WAZIRISHE HABARI PAMOJA KUFUNGIA LOCAL TV SABABU HATUJUI MAANA MBONA WAKATI WA KIKWETE CHANNEL ZOTE ZILIPITIANKWA KINGAMUZI HALUNA FREE DIGITAL TV KAMA ZAMANI UNAWEKA ARIEL UNAONA LEO UWE NA KINGAMUZI , sasa azam wakirusha TAMTHILIA ZA KITURUKI AU KIARABU INAWAHUSU NINI WATU WALALAMIKE
KUMBUKA MWENYE TV NIMUARABU NA MUISLAAM MNATAKA TAZAMENI HAMTAKI HAMJALAZIMISHWA ILA KIWEKA MISAA Za kikristo bila kulipia haiwezi kuoneshwa lazima ilipiwe kama
Za waislaam
Wanalipia
 
Na bado.

Azam inakuja kwenye Biashara ya Mawasiliano. Ukipiga simu huduma kwa wateja unakaribishwa na Assalam Aleykum.

Waacheni waislamu wainuke sasa. Ni zamu yao. Wamebaniwa sana kimfumo tangu enzi za Mwalimu. Ukiwa upande wa 2 huwezi kuelewa.

Baada ya muda mambo yatabalansi yenyewe. Kwa sasa vumilieni tu.
 
Emmanuel TV inarushwa bure hewani.
Haina kusaini wala mkataba na mmeifuta.
Sisi wateja wenu tunataka muirudishe.
 
Emmanuel TV inarushwa bure hewani.
Haina kusaini wala mkataba na mmeifuta.
Sisi wateja wenu tunataka muirudishe.
Toka wiki iliyopita niiikosa azam nikajua ni Kwa muda kumbe haijarudishwa! Bora nikomae na DSTv tu silipii tena azam.
 
Toka wiki iliyopita niiikosa azam nikajua ni Kwa muda kumbe haijarudishwa! Bora nikomae na DSTv tu silipii tena azam.
Dstv kuna kifurushi hadi cha Elfu 19 kwa mwezi na kiko poa tu.
Kama wangeonesha Ligi ya TPL.
Nisingehangaika na visimbusi vingine.
Kama Azam wanaamuua kujikita ktk misimamo ya kidini basi ni bora waweke wazi,
Ili tuwaachie wahusika wa hizo imani.
 
Tulivumilia pale local chanel zilipoondolewa,tukailaumu Serikali kwa kuwanyima kurusha chanel hizo za ndani,bado tuliridhika na baadhi ya chanel za nje kama Discovery science,Bet,Mbc1,2,3,4,Mbc action,power+nk, Watoto waliinjoy chanel zao kama Baby tv,Nickelodeon nk,lakini sasa hata hizo nazo hazipo tena!!

Sijui tumlaumu nani,nimelipia bando la 28,000/lakini sioni cha kutazama!

Naijutia hela yangu kwa kweli,hata ile ya music nayo wameondoa!

Nimeikumbuka mchina yangu (startimes) mnatuangusha wateja wenu!
28,000 kwa ajili ya Sultan tu !
 
Na bado.

Azam inakuja kwenye Biashara ya Mawasiliano. Ukipiga simu huduma kwa wateja unakaribishwa na Assalam Aleykum.

Waacheni waislamu wainuke sasa. Ni zamu yao. Wamebaniwa sana kimfumo tangu enzi za Mwalimu. Ukiwa upande wa 2 huwezi kuelewa.

Baada ya muda mambo yatabalansi yenyewe. Kwa sasa vumilieni tu.
Haiwezekani! kama wataanzisha kweli mtandao wa simu huo ujinga hautakuwepo na ukiwepo mtandao wao utakuwa kama Zantel tu na hatimaye utakufa.
kwanini utakufa? Tanzania ina idadi kubwa ya wakristo kwa mujibu wa sensa ya 2012 ni takribani asilimia 65%.

utakuja na hoja ya kwanini tukiangalia mechi kwenye Azam tv tunaambiwa hizo salam na hatuachi kununua wanaosema hizo salam ni wenye dini hiyo si wote huwezi kumsikia Steve moyo au Baraka Mpenja wanazisema.

na hakuna sehemu panapowabana wasitumie salamu za dini fulani.
kwenye mitandao ya simu mzee ni tofauti na king'amuzi huko mtandao unakufa kifo kibaya sana kuliko cha SMART
 
Back
Top Bottom