Escrowseal1
JF-Expert Member
- Dec 17, 2014
- 4,789
- 4,828
Thanks so muchKingamuzi 69k unapata..kifurushi cha chini kabisa ni bomba 19k unapata baadhi ya channel sio mbaya..
Thanks so muchKingamuzi 69k unapata..kifurushi cha chini kabisa ni bomba 19k unapata baadhi ya channel sio mbaya..
Naona sales lady kutoka azam tv umetia timu
Nimetumia ving'amuzi vyote ila kwa Dstv kimetua mabegi.
Vip local channel zipo??
[/QUOTE
Ipo TBC pekeeeee
Waachieni wenye dini yao!Write your reply...
jamani tv ni ya AZAM ZAM ZAM. UNATEGEMEA WAWEKE KWAYA INAYOSEMA YESU NI BWANA?
Mi kwangu mkuu azam ina mwaka.cjawahi ilipia, nipo dstv tu,Hawa wenzetu na udini huwezi kuwatenganisha. Hata hizi tamthilia zinalenga kueneza dini. Siku si nyingi ntafutilia mbali likingamuzi lao. Ngoja hii tamthilia ya suntan iishe maanA home hawatanielewa na baada ya hapo ntafanya maamuzi
Naona sales lady kutoka azam tv umetia timu
Kweli hiyo?Ni kwasababu ya Mwezi mtukufu wa Ramadhani
Ramadhani imeisha sasa utaziona mpaka ukinai
Udini utawamaliza nasikia hadi ma messenger ni lazima uwe wa dini yao
Heeee? Bahati mbaya Tanesco wameanza kumhujumu mh Rais, kila siku wanakata umeme jioni. Nyambafu zaoNilikuwa naangalia ITV kwenye dikoda ya Azam kule kwenye other channels kuna channel inaitwa Emmanuel TV ulikuwa uki tune unapata ITV
Kivip mkuu?Mbona hayo machannel ni ya burr ni kutega tu dish unayapata free
Hakuna mkuu!Vip local channel zipo??