Azam Tv inapoteza mvuto

Azam Tv inapoteza mvuto

Hivi Charles Hillary,Ivona na Mumewe,mifano michache tu,hao wote ni majuba? Kuna watu muna udini sijapata kuona. Taasisi yoyote ambayo ina Waislam kuzidi Wakristo lazima isemwe ni Udini. UDOM,NSSF ni mifano michache. Lakini tasisi hizo hizo zikiwa na watu wengi wa dini nyingine,siyo UDINI. Kuna watu ni wachumia tumbo sana aisee. Kila siku kwa ubinafsi,Waislam wakiwa wengi taasisi yoyote,ni UDINI,Wakristo wakiwa wengi kwa mfano sasa huko NSSF siyo UDINI. Huu ubaguzi hautufikishi POPOTE.
INAKERA SANA HII SCENARIO.
Hao roho zao mbaya tu Nssf haijawahi kuwa na watumishi wengi waislam kuliko wakristo tatizo lao hawataki taasisi yoyote iongozwe na muislam
 
Haiwezekani! kama wataanzisha kweli mtandao wa simu huo ujinga hautakuwepo na ukiwepo mtandao wao utakuwa kama Zantel tu na hatimaye utakufa.
kwanini utakufa? Tanzania ina idadi kubwa ya wakristo kwa mujibu wa sensa ya 2012 ni takribani asilimia 65%.

utakuja na hoja ya kwanini tukiangalia mechi kwenye Azam tv tunaambiwa hizo salam na hatuachi kununua wanaosema hizo salam ni wenye dini hiyo si wote huwezi kumsikia Steve moyo au Baraka Mpenja wanazisema.

na hakuna sehemu panapowabana wasitumie salamu za dini fulani.
kwenye mitandao ya simu mzee ni tofauti na king'amuzi huko mtandao unakufa kifo kibaya sana kuliko cha SMART
Mkuu sensa ipi ilitaja idadi ya wakristo na waislam katika nchi hi?.
 
Anaweza.....kinauzwa nadhani 70 wakati azam 100+, DStv bando la chn 19. Angala unapata channel chache lakini mzuri. 160 mnaopenda masinema ya kibongo, wale wa Nigeria 152 sijui Mia hamsin na ngapi, move za kidhungu 139 sijui na 136 etc, taarifa za habar za nje utachoka mwenyewe, wapenda wanyama 182 24/7 angalau kupoteza mda na mambo ya michezo 209/210 na wapenda mieleka current hapa ndio kwao. Kwa kuwa mda wa kuangalia tv sio mwingi nadhani datv Ni best choice. .local channels hamna cha maana , na utamis chochote maana utacipata kwenye magazeti na other means kwenye simu janja yako
Azam kwa sasa laki na elfu 25, dstv kwa sasa elfu 99.Kifurushi Cha chini Cha dstv ni 19k, huku cha azam cha chini ni 10K.Kifurushi cha juu cha azam ni elfu 28, cha dstv ni 169K.
 
Watu wanaosema Azam kuna udini sana na wanatoa sababu wanakosea??
Na wanaosema hakuna udini na wanatoa sababu wanakosea? Embu chukua sababu zao halafu nikupe sababu kwanini hakuna udini upime mwenyewe , wagalatia wana chuki na kupenda kulalamika kwa vitu vyenye mbadala
 
[QUOTE="CHAZA, post: 31737477, member: 114660
Hivi Charles Hillary,Ivona na Mumewe,mifano michache tu,hao wote ni majuba? Kuna watu muna udini sijapata kuona. Taasisi yoyote ambayo ina Waislam kuzidi Wakristo lazima isemwe ni Udini. UDOM,NSSF ni mifano michache. Lakini tasisi hizo hizo zikiwa na watu wengi wa dini nyingine,siyo UDINI. Kuna watu ni wachumia tumbo sana aisee. Kila siku kwa ubinafsi,Waislam wakiwa wengi taasisi yoyote,ni UDINI,Wakristo wakiwa wengi kwa mfano sasa huko NSSF siyo UDINI. Huu ubaguzi hautufikishi POPOTE.
INAKERA SANA HII SCENARIO.
Pamoja na mifano yako ya majina ya kikristo, bado azam wana udini sana. Sio kwenye tv tu, hata biashara zake nyingine. Bakhresa anaingiza imani yake kwenye biashara ambazo wateja wake sio wa din yake tu.
Ningemwelewa angeomba leseni ya kufungua biashara zinazofuata misingi ya dini ya kiislamu. Mwanzoni mimi nilikuwa shabiki mkubwa wa azamfc. Nimeachana nayo kwa sababu ya elements za udini katika uendeshaji wake.
Kitu rahisi ambacho angeweza kufanya ni kuruhusu, kwa mfano ibada za kikristu siku ya jumapili kwa muda mfupi tu. Halafu akaweka sala/ibada ya ijumaa hata siku nzima ya ijumaa.
Kidogo sasa inapokuwa pasaka au krismasi unaona matangazo yenye ladha ya ukristu. Lakini mwanzo, hakuonyesha chochote katika siku hizo muhimu kwa wakristo. Ni muhimu huyu mzee akaangalia hisia za wateja wake kwa ujumla.

Ushauri wa bure tu.
[/QUOTE]
Mbona unajitekenya na kucheka mwenyewe? Mwenzio kaja na vivid example umezikataa halafu unaleta ishu zako mwisho unajijibu mwenyewe, enyi wagalatia msio na akili ni nani aliyewaroga
 
King'amuzi cha azamu ukiondoa Mpira sioni kingine cha kuangalia
kikizingua weka mke mdogo walahi
IMG_20190308_165303.jpeg
 
Haiwezekani! kama wataanzisha kweli mtandao wa simu huo ujinga hautakuwepo na ukiwepo mtandao wao utakuwa kama Zantel tu na hatimaye utakufa.
kwanini utakufa? Tanzania ina idadi kubwa ya wakristo kwa mujibu wa sensa ya 2012 ni takribani asilimia 65%.

utakuja na hoja ya kwanini tukiangalia mechi kwenye Azam tv tunaambiwa hizo salam na hatuachi kununua wanaosema hizo salam ni wenye dini hiyo si wote huwezi kumsikia Steve moyo au Baraka Mpenja wanazisema.

na hakuna sehemu panapowabana wasitumie salamu za dini fulani.
kwenye mitandao ya simu mzee ni tofauti na king'amuzi huko mtandao unakufa kifo kibaya sana kuliko cha SMART
Hivi nyie wagalatia kwanini waongo hivyo? Sensa ya 2012 ilikuwa haina kipengele cha dini ndio maana waislam wakaigomea sasa hizo takwimu umepata wapi?
 
Haiwezekani! kama wataanzisha kweli mtandao wa simu huo ujinga hautakuwepo na ukiwepo mtandao wao utakuwa kama Zantel tu na hatimaye utakufa.
kwanini utakufa? Tanzania ina idadi kubwa ya wakristo kwa mujibu wa sensa ya 2012 ni takribani asilimia 65%.

utakuja na hoja ya kwanini tukiangalia mechi kwenye Azam tv tunaambiwa hizo salam na hatuachi kununua wanaosema hizo salam ni wenye dini hiyo si wote huwezi kumsikia Steve moyo au Baraka Mpenja wanazisema.

na hakuna sehemu panapowabana wasitumie salamu za dini fulani.
kwenye mitandao ya simu mzee ni tofauti na king'amuzi huko mtandao unakufa kifo kibaya sana kuliko cha SMART
Mbona hiyo salam marehemu kibonde alikuwa anaitumia na hamkulalamika?
 
Nyie wagalatia msio na akili tushawazoe kazi kulalamika tu, akili hamna hata za kujiongeza, ngoja sasa nikutajie wafanyakazi wakristo pale azam , mkurugenzi mkristo, msaidizi mkristo, mkuu wa idara ya habri mkristo, mkuu wa michezo mkristo, tido, Charles , patrick , ivona, mbwa nyie
Acha upimbi huo hakuna anaelalamikia kuhusu wafanyaķazi kuwa wa upande fulani tu kama yupo basi ni mjinga kinacholalamikiwa hapa kuhusu maudhui ya vipindi vina udini kwa sasa
hao wagalatia unaosema wewe ndio waliokuja hapa kuisifia hiyo channel mwanzoni lakini sasa wanaona mambo ni tofauti udini umejaa azam
 
Rudisheni Emmanuel TV,
Haina mkataba wala kulipia, ni Free to Air.
Mimi nilinunua kisimbusi Azam kwa ajiri ya kuangalia hiyo Channel.
Tunakosa ibada Live from Synagogue kila siku toka kwa Nabii T.B. Joshua.
Pamoja yakuwa mnafanya biashara, kumbukeni pia maneno ya Nabii Joshua anapo sema.
" Let Love Lead "
" Love even your enemy "
" Distance is not a barrier "
"Love neighbors as yourself"
 
Acha upimbi huo hakuna anaelalamikia kuhusu wafanyaķazi kuwa wa upande fulani tu kama yupo basi ni mjinga kinacholalamikiwa hapa kuhusu maudhui ya vipindi vina udini kwa sasa
hao wagalatia unaosema wewe ndio waliokuja hapa kuisifia hiyo channel mwanzoni lakini sasa wanaona mambo ni tofauti udini umejaa azam
Hama kwani nani kakulazimisha kutumia azam, acha kulalamika bint
 
Acha upimbi huo hakuna anaelalamikia kuhusu wafanyaķazi kuwa wa upande fulani tu kama yupo basi ni mjinga kinacholalamikiwa hapa kuhusu maudhui ya vipindi vina udini kwa sasa
hao wagalatia unaosema wewe ndio waliokuja hapa kuisifia hiyo channel mwanzoni lakini sasa wanaona mambo ni tofauti udini umejaa azam
Mkuu vipindi vipi Azam ambavyo wanasema nivya udini?, Au maudhui yapi.

Azam one hii channel hurusha movie zote zenye maudhui yasiyo ya kiislam 100%

Azam two hurusha tamthiliya zenye maudhui mchanganyiko.

Sinema zetu( hii nibongo movie)

Azam sport 2 na Azam hd, hizi nizamichezo,Azam extra hii niyamatangazo.

Hizi channel ndio anazomiliki Azam nandio anapanga maudhui yake.Je nilitaka nifaham nichannel zipi ambazo zinamaudhui ya udini.

Maana king'amuzi cha azam kinachannel 99 cha bei ya juu,cha chini kinachannel 40.Katika channel za kulipia.
 
Dini zoote ni ubaguzi......tafakari kwa kina na wala usikurupuke kunitukana.
Kwa mfano: Non Muslims hawaruhusiwi kuingia Holy city of Maka
Picha za Jesus na hata misalaba hairuhusiwi kupelekwa huko Maka.
Hindus,Chritians nk woote wanataratibu zao,hivyo basi muhimu ni kuheshimiana na kuvumiliana
Picha za Jesus zipi? au ulikuwa unamaanisha yule Brian raia wa Uingereza?
 
Back
Top Bottom