Capt Tamar
JF-Expert Member
- Dec 15, 2011
- 13,052
- 18,012
- Thread starter
- #181
ndiyo Azam wameamua hivyo mkuu28,000 kwa ajili ya Sultan tu !
ndiyo Azam wameamua hivyo mkuu28,000 kwa ajili ya Sultan tu !
Hawa dstv ambao mvua ikinyesha wanapotea hewani?.Mambo tote DStv
Hao roho zao mbaya tu Nssf haijawahi kuwa na watumishi wengi waislam kuliko wakristo tatizo lao hawataki taasisi yoyote iongozwe na muislamHivi Charles Hillary,Ivona na Mumewe,mifano michache tu,hao wote ni majuba? Kuna watu muna udini sijapata kuona. Taasisi yoyote ambayo ina Waislam kuzidi Wakristo lazima isemwe ni Udini. UDOM,NSSF ni mifano michache. Lakini tasisi hizo hizo zikiwa na watu wengi wa dini nyingine,siyo UDINI. Kuna watu ni wachumia tumbo sana aisee. Kila siku kwa ubinafsi,Waislam wakiwa wengi taasisi yoyote,ni UDINI,Wakristo wakiwa wengi kwa mfano sasa huko NSSF siyo UDINI. Huu ubaguzi hautufikishi POPOTE.
INAKERA SANA HII SCENARIO.
Mkuu sensa ipi ilitaja idadi ya wakristo na waislam katika nchi hi?.Haiwezekani! kama wataanzisha kweli mtandao wa simu huo ujinga hautakuwepo na ukiwepo mtandao wao utakuwa kama Zantel tu na hatimaye utakufa.
kwanini utakufa? Tanzania ina idadi kubwa ya wakristo kwa mujibu wa sensa ya 2012 ni takribani asilimia 65%.
utakuja na hoja ya kwanini tukiangalia mechi kwenye Azam tv tunaambiwa hizo salam na hatuachi kununua wanaosema hizo salam ni wenye dini hiyo si wote huwezi kumsikia Steve moyo au Baraka Mpenja wanazisema.
na hakuna sehemu panapowabana wasitumie salamu za dini fulani.
kwenye mitandao ya simu mzee ni tofauti na king'amuzi huko mtandao unakufa kifo kibaya sana kuliko cha SMART
Ila kwa hapa walipofikia Tv yao itadorora!Azam hawajawahi kuanzisha biashara ikafa.. Wako vizuri kwenye marketing. Sahau!
Azam kwa sasa laki na elfu 25, dstv kwa sasa elfu 99.Kifurushi Cha chini Cha dstv ni 19k, huku cha azam cha chini ni 10K.Kifurushi cha juu cha azam ni elfu 28, cha dstv ni 169K.Anaweza.....kinauzwa nadhani 70 wakati azam 100+, DStv bando la chn 19. Angala unapata channel chache lakini mzuri. 160 mnaopenda masinema ya kibongo, wale wa Nigeria 152 sijui Mia hamsin na ngapi, move za kidhungu 139 sijui na 136 etc, taarifa za habar za nje utachoka mwenyewe, wapenda wanyama 182 24/7 angalau kupoteza mda na mambo ya michezo 209/210 na wapenda mieleka current hapa ndio kwao. Kwa kuwa mda wa kuangalia tv sio mwingi nadhani datv Ni best choice. .local channels hamna cha maana , na utamis chochote maana utacipata kwenye magazeti na other means kwenye simu janja yako
Na wanaosema hakuna udini na wanatoa sababu wanakosea? Embu chukua sababu zao halafu nikupe sababu kwanini hakuna udini upime mwenyewe , wagalatia wana chuki na kupenda kulalamika kwa vitu vyenye mbadalaWatu wanaosema Azam kuna udini sana na wanatoa sababu wanakosea??
Pamoja na mifano yako ya majina ya kikristo, bado azam wana udini sana. Sio kwenye tv tu, hata biashara zake nyingine. Bakhresa anaingiza imani yake kwenye biashara ambazo wateja wake sio wa din yake tu.[QUOTE="CHAZA, post: 31737477, member: 114660
Hivi Charles Hillary,Ivona na Mumewe,mifano michache tu,hao wote ni majuba? Kuna watu muna udini sijapata kuona. Taasisi yoyote ambayo ina Waislam kuzidi Wakristo lazima isemwe ni Udini. UDOM,NSSF ni mifano michache. Lakini tasisi hizo hizo zikiwa na watu wengi wa dini nyingine,siyo UDINI. Kuna watu ni wachumia tumbo sana aisee. Kila siku kwa ubinafsi,Waislam wakiwa wengi taasisi yoyote,ni UDINI,Wakristo wakiwa wengi kwa mfano sasa huko NSSF siyo UDINI. Huu ubaguzi hautufikishi POPOTE.
INAKERA SANA HII SCENARIO.
kikizingua weka mke mdogo walahiKing'amuzi cha azamu ukiondoa Mpira sioni kingine cha kuangalia
Hivi nyie wagalatia kwanini waongo hivyo? Sensa ya 2012 ilikuwa haina kipengele cha dini ndio maana waislam wakaigomea sasa hizo takwimu umepata wapi?Haiwezekani! kama wataanzisha kweli mtandao wa simu huo ujinga hautakuwepo na ukiwepo mtandao wao utakuwa kama Zantel tu na hatimaye utakufa.
kwanini utakufa? Tanzania ina idadi kubwa ya wakristo kwa mujibu wa sensa ya 2012 ni takribani asilimia 65%.
utakuja na hoja ya kwanini tukiangalia mechi kwenye Azam tv tunaambiwa hizo salam na hatuachi kununua wanaosema hizo salam ni wenye dini hiyo si wote huwezi kumsikia Steve moyo au Baraka Mpenja wanazisema.
na hakuna sehemu panapowabana wasitumie salamu za dini fulani.
kwenye mitandao ya simu mzee ni tofauti na king'amuzi huko mtandao unakufa kifo kibaya sana kuliko cha SMART
Mbona hiyo salam marehemu kibonde alikuwa anaitumia na hamkulalamika?Haiwezekani! kama wataanzisha kweli mtandao wa simu huo ujinga hautakuwepo na ukiwepo mtandao wao utakuwa kama Zantel tu na hatimaye utakufa.
kwanini utakufa? Tanzania ina idadi kubwa ya wakristo kwa mujibu wa sensa ya 2012 ni takribani asilimia 65%.
utakuja na hoja ya kwanini tukiangalia mechi kwenye Azam tv tunaambiwa hizo salam na hatuachi kununua wanaosema hizo salam ni wenye dini hiyo si wote huwezi kumsikia Steve moyo au Baraka Mpenja wanazisema.
na hakuna sehemu panapowabana wasitumie salamu za dini fulani.
kwenye mitandao ya simu mzee ni tofauti na king'amuzi huko mtandao unakufa kifo kibaya sana kuliko cha SMART
Acha upimbi huo hakuna anaelalamikia kuhusu wafanyaķazi kuwa wa upande fulani tu kama yupo basi ni mjinga kinacholalamikiwa hapa kuhusu maudhui ya vipindi vina udini kwa sasaNyie wagalatia msio na akili tushawazoe kazi kulalamika tu, akili hamna hata za kujiongeza, ngoja sasa nikutajie wafanyakazi wakristo pale azam , mkurugenzi mkristo, msaidizi mkristo, mkuu wa idara ya habri mkristo, mkuu wa michezo mkristo, tido, Charles , patrick , ivona, mbwa nyie
Sasa nani ana pesa kuliko bakhresa nchi hii? Ila ndugu mbona visimbuzi vipo kibao si muhamie huko,Hivi, hakuna anayeweza kupambana na Azam, awekeze? Naona kama hawajaamua kufanya biashara hawa jamaa.
Hama kwani nani kakulazimisha kutumia azam, acha kulalamika bintAcha upimbi huo hakuna anaelalamikia kuhusu wafanyaķazi kuwa wa upande fulani tu kama yupo basi ni mjinga kinacholalamikiwa hapa kuhusu maudhui ya vipindi vina udini kwa sasa
hao wagalatia unaosema wewe ndio waliokuja hapa kuisifia hiyo channel mwanzoni lakini sasa wanaona mambo ni tofauti udini umejaa azam
Wagalatia waongo sana ndio maana wanamwita Brian deacon yesuMkuu sensa ipi ilitaja idadi ya wakristo na waislam katika nchi hi?.
Dua la kuku hilo unafikiri azam ni ting eehIla kwa hapa walipofikia Tv yao itadorora!
Mkuu vipindi vipi Azam ambavyo wanasema nivya udini?, Au maudhui yapi.Acha upimbi huo hakuna anaelalamikia kuhusu wafanyaķazi kuwa wa upande fulani tu kama yupo basi ni mjinga kinacholalamikiwa hapa kuhusu maudhui ya vipindi vina udini kwa sasa
hao wagalatia unaosema wewe ndio waliokuja hapa kuisifia hiyo channel mwanzoni lakini sasa wanaona mambo ni tofauti udini umejaa azam
Picha za Jesus zipi? au ulikuwa unamaanisha yule Brian raia wa Uingereza?Dini zoote ni ubaguzi......tafakari kwa kina na wala usikurupuke kunitukana.
Kwa mfano: Non Muslims hawaruhusiwi kuingia Holy city of Maka
Picha za Jesus na hata misalaba hairuhusiwi kupelekwa huko Maka.
Hindus,Chritians nk woote wanataratibu zao,hivyo basi muhimu ni kuheshimiana na kuvumiliana
mmmmhhh mbona mimi nimelipia 28000 na chanel zipoo hizo MBC1,2,ACTION,FOX ZOTE,BET,EAFRICA,NATGEO, yani kwa ufupi chanel zotee zipoooo na naenjoy sana Movie kupitia FOX ENT na MielekaaKwa Azam yanalipiwa mkuu! Na mwanzoni yalikuwepo ila sasa hakuna!