Azam Tv inapoteza mvuto

Azam Tv inapoteza mvuto

Tulivumilia pale local chanel zilipoondolewa,tukailaumu serikali kwa kuwanyima kurusha chanel hizo za ndani,bado tuliridhika na baadhi ya chanel za nje kama Discovery science,Bet,Mbc1,2,3,4,Mbc action,power+nk, Watoto waliinjoy chanel zao kama Baby tv,Nickelodeon nk,lakini sasa hata hizo nazo hazipo tena!! Sijui tumlaumu nani,nimelipia bando la 28,000/lakini sioni cha kutazama! Naijutia hela yangu kwa kweli,hata ile ya music nayo wameondoa! Nimeikumbuka mchina yangu (startimes) mnatuangusha wateja wenu!
Vip local channel zipo??
 
Wanaboa sana

Hizo cineme zao sijui zetu ndio wameshindwa kutoa tuzo hata kwa wazawa


Tuzo wanawapa eti Wa Irani sijui wahindi na Wa turuki .

Hovyo sana
Hahah mkuu mi naonaga hio Tv ni kwa ajili ya kusambaza tamaduni za wa-iran,waturuki inshort ni kwa ajili ya kutangaza tamaduni za waarabu/islam.
 
Back
Top Bottom