Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 25,012
- 56,297
Malipo unalipaje kamanda? Je kama kimesajiliwa Malawi huku bongo hakizingui?Mchongo ni kutumia azam ya Malawi burudan zote unapata mixer local channel zote
Malipo unalipaje kamanda? Je kama kimesajiliwa Malawi huku bongo hakizingui?Mchongo ni kutumia azam ya Malawi burudan zote unapata mixer local channel zote
Raha tu
Wewe haulalamiki udini huko Azam?Asanteni Azam TV
Kwa kuirudisha
Emmanuel TV
The Best is Yet to Come
Mimi sijalalamika angalia posti zangu hapo juu.Wewe haulalamiki udini huko Azam?
Ofisi zao mkuu inategemea Upo mkoa ganiHi
Hivi hii huduma ya kebo mikoani inapatkana vipi.? Navipi malipo yake
Dar sijajua kama ipo aiseeHiyo huduma ya kebo inapatikana Daresalam ?
Naihitaji
Hebu eleza inapatikanaje
Ntaenda kuuuza kama chuma chakavuDish pekee huuzi?
Wameondoa lini? Unalipa kifurushi cha sh ngapi?