Azam Tv inapoteza mvuto

Azam Tv inapoteza mvuto

Hamieni kwenye CANAL+View attachment 1120379
IMG-20190529-WA0021.jpeg
 
Azam sasa hivi ni nzuri kwa league ya bongo tu, otherwise wamezidiwa na startimes
 
Nyie wagalatia msio na akili tushawazoe kazi kulalamika tu, akili hamna hata za kujiongeza, ngoja sasa nikutajie wafanyakazi wakristo pale azam , mkurugenzi mkristo, msaidizi mkristo, mkuu wa idara ya habri mkristo, mkuu wa michezo mkristo, tido, Charles , patrick , ivona, mbwa nyie
Asante

Mm ni mbwa

Ila udini sijausema kwenye wafanyakazi

Ungejaribu kuniuliza , matusi hayafai ndugu

Ubarikuwe na pendo la bwana wetu Yesu kristo.
 
Sisi wapenzi wa
Let Love Lead, tunahitaji mturudishie channel yetu pendwa ya
Emmanuel TV.
Tumenunua Kisimbusi cha Azam kwa ajiri hiyo tu na Ligi ya TPL.
Bring Back Emmanuel TV.
Please
Emmanuel T v hata kwenye DSTV IPO mbona
 
Ukitaka burudani ya kweli nunua dstv..

Ila kama bajeti zinabana nenda tu kwa mchina (startimes)
Dstv wako vizuri tu tena kifurushi cha bomba cha 19000 uanapata burudani tosha kwanini ulipe 28000?
 
Emmanuel T v hata kwenye DSTV IPO mbona
Ndio IPO hata kwenye kufurushi cha elfu 19 kwa mwezi.
Ila mimi niliwapa kipambele Azam kwa kuwa ni kisimbusi cha hapa nyumbani.
Ila kwa hii attitude wanaoanza kuionyesha sina namna zaidi ya kuanza kujichanga ili niinunue dstv, hakuna haja ya kugombana na wenye visimbusi.
Dhana ya mteja ni mfalme inakuwepo kwa wafanya biashara wadogowadogo
Kwa wakubwa wao ndio wafalme.
 
Kwa anayehitaji King'amuzi chochote au huduma ya ufundi kwa Dar es Salaam

Bei zetu za ving'amuzi
DStv 99,000 + 20000 ufundi
Startimes(dish) 140,000
Azam 145,000

Simu: 0764453848
 
Nauza king'amuzi cha DSTV bei chee elf 70. Maongez yapo
Kwa anayehitaji King'amuzi chochote au huduma ya ufundi kwa Dar es Salaam

Bei zetu za ving'amuzi
DStv 99,000 + 20000 ufundi
Startimes(dish) 140,000
Azam 145,000

Simu: 0764453848
 
Mkuu vipindi vipi Azam ambavyo wanasema nivya udini?, Au maudhui yapi.

Azam one hii channel hurusha movie zote zenye maudhui yasiyo ya kiislam 100%

Azam two hurusha tamthiliya zenye maudhui mchanganyiko.

Sinema zetu( hii nibongo movie)

Azam sport 2 na Azam hd, hizi nizamichezo,Azam extra hii niyamatangazo.

Hizi channel ndio anazomiliki Azam nandio anapanga maudhui yake.Je nilitaka nifaham nichannel zipi ambazo zinamaudhui ya udini.

Maana king'amuzi cha azam kinachannel 99 cha bei ya juu,cha chini kinachannel 40.Katika channel za kulipia.
Hii hakuna atakayejibu...
 
ukijibiwa nitag mkuu
Mkuu vipindi vipi Azam ambavyo wanasema nivya udini?, Au maudhui yapi.

Azam one hii channel hurusha movie zote zenye maudhui yasiyo ya kiislam 100%

Azam two hurusha tamthiliya zenye maudhui mchanganyiko.

Sinema zetu( hii nibongo movie)

Azam sport 2 na Azam hd, hizi nizamichezo,Azam extra hii niyamatangazo.

Hizi channel ndio anazomiliki Azam nandio anapanga maudhui yake.Je nilitaka nifaham nichannel zipi ambazo zinamaudhui ya udini.

Maana king'amuzi cha azam kinachannel 99 cha bei ya juu,cha chini kinachannel 40.Katika channel za kulipia.
 
kama watu wa azam wamo humu wazingatie haya maoni ya wadau,ni muhimu sana kwao
 
Tulivumilia pale local chanel zilipoondolewa,tukailaumu Serikali kwa kuwanyima kurusha chanel hizo za ndani,bado tuliridhika na baadhi ya chanel za nje kama Discovery science,Bet,Mbc1,2,3,4,Mbc action,power+nk, Watoto waliinjoy chanel zao kama Baby tv,Nickelodeon nk,lakini sasa hata hizo nazo hazipo tena!!

Sijui tumlaumu nani,nimelipia bando la 28,000/lakini sioni cha kutazama!

Naijutia hela yangu kwa kweli,hata ile ya music nayo wameondoa!

Nimeikumbuka mchina yangu (startimes) mnatuangusha wateja wenu!
cheki TBC hiyo itakufaa.
 
Wanarekebisha mitambo
Tulivumilia pale local chanel zilipoondolewa,tukailaumu Serikali kwa kuwanyima kurusha chanel hizo za ndani,bado tuliridhika na baadhi ya chanel za nje kama Discovery science,Bet,Mbc1,2,3,4,Mbc action,power+nk, Watoto waliinjoy chanel zao kama Baby tv,Nickelodeon nk,lakini sasa hata hizo nazo hazipo tena!!

Sijui tumlaumu nani,nimelipia bando la 28,000/lakini sioni cha kutazama!

Naijutia hela yangu kwa kweli,hata ile ya music nayo wameondoa!

Nimeikumbuka mchina yangu (startimes) mnatuangusha wateja wenu!
 
Huduma ya kebo ipo Vizur kweli Chanel zote za local unapata Chanel za nje zimo Yaani full burudani
Hiyo huduma ya kebo inapatikana Daresalam ?
Naihitaji
Hebu eleza inapatikanaje
 
Hi
Huduma ya kebo ipo Vizur kweli Chanel zote za local unapata Chanel za nje zimo Yaani full burudani
Hivi hii huduma ya kebo mikoani inapatkana vipi.? Navipi malipo yake
 
Back
Top Bottom