TUTUO
JF-Expert Member
- Dec 3, 2013
- 3,253
- 2,023
Picha za Jesus zipi? au ulikuwa unamaanisha yule Brian raia wa Uingereza?Dini zoote ni ubaguzi......tafakari kwa kina na wala usikurupuke kunitukana.
Kwa mfano: Non Muslims hawaruhusiwi kuingia Holy city of Maka
Picha za Jesus na hata misalaba hairuhusiwi kupelekwa huko Maka.
Hindus,Chritians nk woote wanataratibu zao,hivyo basi muhimu ni kuheshimiana na kuvumiliana