Azam Tv inapoteza mvuto

Azam Tv inapoteza mvuto

Kuna mburura wengine hawa Continental, ni majanga zaidi ya kimbunga cha Katrina!

Hapa ngoja nijiendee kwa Mchina kama haya MaAzam yanaanza kutuletea u-aeatolah!

Yaani kitu cha biashara unilazimishe kuangalia makobazi, vipedo na majuba?

Ah, wapi, hapa sio Makkah! Mambo ya kulazimishana kucheza kaswida na kufuga ndevu ka beberu sitaki!
 
Doooh. Kwa hyo bila Juba hutoboi
Hivi Charles Hillary,Ivona na Mumewe,mifano michache tu,hao wote ni majuba? Kuna watu muna udini sijapata kuona. Taasisi yoyote ambayo ina Waislam kuzidi Wakristo lazima isemwe ni Udini. UDOM,NSSF ni mifano michache. Lakini tasisi hizo hizo zikiwa na watu wengi wa dini nyingine,siyo UDINI. Kuna watu ni wachumia tumbo sana aisee. Kila siku kwa ubinafsi,Waislam wakiwa wengi taasisi yoyote,ni UDINI,Wakristo wakiwa wengi kwa mfano sasa huko NSSF siyo UDINI. Huu ubaguzi hautufikishi POPOTE.
INAKERA SANA HII SCENARIO.
 
Mtu chake jamani, msimpangie

Hahaaaa ila nimecheka watu mna maneno mbofumbofu
 
Kuna tamthilia ya nabii hamza ni noma unasikia eti wachinje hao wasioamini
Mara utasikia wasilimishe kwa nguvu
Eboooooo maalshabibi hayo ndio yalianza hivyo hivyo

Hata kipindi kile radio iman ilianza hivyo hivyo mpaka kuja kueneza utengano wazi wazi na chuki za kidini mara sensa, mara mou, mara necta na TCRA wanayaona haya wananyamaza

Mimi nilivyoona hawako balanced kwenye programmes zao hasa upande wa Christian kuanzia Sunday mpaka sikukuu hawatambui wao ni busy tu na din ya mnyaaaaaz mung 24/7 nikasema isiwe tabu sababu hizi pesa za airtime kumbe natoa sadaka misikitini Hahahahahaaa nikawafyekelea mbali
 
Wamefuta Emanuel TV , ungiingia kwenye sehemu wanaita other channels wamejaza channels za kiislamu kama zote
Eboooooo maalshabibi hayo ndio yalianza hivyo hivyo

Hata kipindi kile radio iman ilianza hivyo hivyo mpaka kuja kueneza utengano wazi wazi na chuki za kidini mara sensa, mara mou, mara necta na TCRA wanayaona haya wananyamaza

Mimi nilivyoona hawako balanced kwenye programmes zao hasa upande wa Christian kuanzia Sunday mpaka sikukuu hawatambui wao ni busy tu na din ya mnyaaaaaz mung 24/7 nikasema isiwe tabu sababu hizi pesa za airtime kumbe natoa sadaka misikitini Hahahahahaaa nikawafyekelea mbali
 
GTV wangerudi wale jamaa DSTV wangeenda sawa sawa
Pia wakipatikana ESPN nao wazuri sana
Ila kwa kweli DSTV tena kwa explora Mimi naangalia extra kwa kwa kwa kutumia DStv explora decoder mbili haisumbii kbsa wala hautajutia kbsa kbsa
Uko na huduma ya extra viewer mkuu.je bei Kwa explorer ni Sawa na dekoda ya kawaida au
 
Wamefuta Emanuel TV , ungiingia kwenye sehemu wanaita other channels wamejaza channels za kiislamu kama zote
Na ni kwanini gospel channels waliiweka kwenye category ya "other channels" wakati wao channels zao za kidini wamezitapakaza kila kona wala huna haja ya kusearch kabisa, Hapo ndio tatizo lilianzia.
 
Back
Top Bottom