Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 39,797
- 71,217
Nimeshangazwa sana na aina hii ya tangazo la biashara ya vifurushi vya king'amuzi chenu kutoka kwa munayemuita balozi wa AZAM.
Unatangazaje bidhaa ya Azam kama vile bidhaa hiyo ni mali ya Yanga hivyo unaiponda Simba? Huwezi kuwajulisha watu wanunue kifurushi hicho huku unawakebehi Simba na kuwaita Makolo wakati nao ni miongoni mwa watumiaji.
Hivi mpenzi wa Simba atajisikia vyema kununua bidhaa za Azam kwa kebehi hizo za Manara anazo changanya katika biashara ya Azam?
Huko ni kuyokujua ABC za kibiashara, Manara amekosa Ethics za kazi yake nadhani kwa vile hana elimu na kwa kampuni kubwa kama AZAM hiyo ni miscalculation ya hali ya juu sana.
Unatangazaje bidhaa ya Azam kama vile bidhaa hiyo ni mali ya Yanga hivyo unaiponda Simba? Huwezi kuwajulisha watu wanunue kifurushi hicho huku unawakebehi Simba na kuwaita Makolo wakati nao ni miongoni mwa watumiaji.
Hivi mpenzi wa Simba atajisikia vyema kununua bidhaa za Azam kwa kebehi hizo za Manara anazo changanya katika biashara ya Azam?
Huko ni kuyokujua ABC za kibiashara, Manara amekosa Ethics za kazi yake nadhani kwa vile hana elimu na kwa kampuni kubwa kama AZAM hiyo ni miscalculation ya hali ya juu sana.