1979Magufuli
JF-Expert Member
- Feb 20, 2023
- 438
- 1,752
Mm ni mmoja wa wadau wakubwa wa Azam, iwe media, iwe tigopesa, iwe sports, iwe ice cream ali mradi tu imeitwa Azam.
Jana, kabla ya mchezo haujaanza kipa wa Singida Benedict Haule alionekana kwenye luninga akiwa amesimama langoni ameshika taulo lake na maji, akaweka chupa zake za maji vzr, ndani ya taulo kulikuwa na kitu alikuwa anakichimbia, kabla hajafanya hivyo azam wakaondoa faster tusione, ila wengi tulioangalia tuliona tukio lile kidogo.
Pili, kila jambo baya la Simba lilirudiwa ili mradi tu watu watengeneze stori, yanayofanywa na Singida hatuonyeshwi.
Mfano goli la kwanza wamerudia zaidi ya mara 5 ili kutaka kuaminisha watu kuwa triple c aliotea. Nikawa nafuatilia sana kuona mambo yakitendeka kwa simba yanarudiwa frequently.
Hili naomba management ya azam iliangalie, wapo baadhi ya watumishi ndani ya azam ndio wale aliowasema Dube.
Mliwaondoa akina Jaffery Idd Maganga na baadae Idd Nassoro Cheche, beki wa zamani wa Nyota Nyekundu akicheza na Frank Kassanga Bwalya ili tuone mabadiliko but manazi wako pale pale.
Lisijirudie hili.
Jana, kabla ya mchezo haujaanza kipa wa Singida Benedict Haule alionekana kwenye luninga akiwa amesimama langoni ameshika taulo lake na maji, akaweka chupa zake za maji vzr, ndani ya taulo kulikuwa na kitu alikuwa anakichimbia, kabla hajafanya hivyo azam wakaondoa faster tusione, ila wengi tulioangalia tuliona tukio lile kidogo.
Pili, kila jambo baya la Simba lilirudiwa ili mradi tu watu watengeneze stori, yanayofanywa na Singida hatuonyeshwi.
Mfano goli la kwanza wamerudia zaidi ya mara 5 ili kutaka kuaminisha watu kuwa triple c aliotea. Nikawa nafuatilia sana kuona mambo yakitendeka kwa simba yanarudiwa frequently.
Hili naomba management ya azam iliangalie, wapo baadhi ya watumishi ndani ya azam ndio wale aliowasema Dube.
Mliwaondoa akina Jaffery Idd Maganga na baadae Idd Nassoro Cheche, beki wa zamani wa Nyota Nyekundu akicheza na Frank Kassanga Bwalya ili tuone mabadiliko but manazi wako pale pale.
Lisijirudie hili.