Azam TV vs SportPesa: Kuna nini kati ya hizi Kampuni mbili, Azam hawaoneshi mechi zilizodhaminiwa na SportPesa?

IBRA wa PILI

JF-Expert Member
Oct 12, 2017
1,448
2,289
Azam TV hawaoneshi game zinazoandaliwa na Kampuni ya SportPesa, iwe lile kombe la SportPesa Super Cup linazokutanisha timu za Afrika Mashariki au hata mechi ya juzi kati ya Sevilla na Simba awakurusha

Na wasingerusha hapa bongo Simba, Yanga, Singida na Mbao ndio zina uzamini wa SportPesa sasa kwenye kombe la SportPesa mechi zao awarushi wala promo akuna

Lakii timu hizo hizo zikiwa zimekumbatia kifuani jina la kampuni ya SportPesa bwana kamari mechi zao ligi kuu wanarusha na kamera zilezile walizogoma rushia mechi za SportPesa.

Siku wanayo kutana Simba vs Yanga then Singida vs Mbao na mabango ya sportpesa kifuani. Je hapo si wamekimbia chui na kuvamia duma?!

NB Azam aijawai shiriki tusker cup kwa kua ni pombe Je wako sahihi au sio sahii

POLENI KWA UANDISH MBOVU POVU POA
 
Azam tv awarush game zinazo andaliwa na kampuni ya sportpesa,iwe lile kombe la sportpesa super cup linazokutanisha timu za afrika mashariki Kenya na Tz , lakini pia aya mech ya juzi kati ya sevilla na simba awakurusha na wasingerusha hapa bongo simba,yanga,singida na mbao ndio zina uzamini Wa sportpesa sas kwenye kombe LA sportpesa mech zao awarush wala promo akuna lakin timu izo izo zikiwa zimekumbatia kifuani jina la kampuni ya sportpesa bwana kamari mechi zao ligi kuu wanarusha na kamera zilezile walizogoma rushia mechi za sportpesa siku wanayo kutana simba vs yanga then singida vs mbao na mabango ya sportpesa BWIIII kifuani. je hapo si wamekimbia chui na kuvamia duma?! NB Azam aijawai shiriki tusker cup kwa kua ni pombe .
Kwanza tulia,relax and then panga vizuri uandishi wako.
Baada ya hapo azam sidhani kama watakujibu ila kwa maoni binafsi nitakwambia yafuatayo.
Ile ni kamouni binafsi sio ya umma so wana maamuzi yao binafsi yatakayowafurahisha na kuwafaidisha hata kama yatakukera.
Kwenye mada lazima umalizoe na solution,me solution yangu mkuu,kama wanakukera acha nao tu.hawapangiwi ni utashi wao.
Kibwagizo: maishani mwangu azam tv nmeona mara 4 tu tena kwa watu
 
Kwanza tulia,relax and then panga vizuri uandishi wako.
Baada ya hapo azam sidhani kama watakujibu ila kwa maoni binafsi nitakwambia yafuatayo.
Ile ni kamouni binafsi sio ya umma so wana maamuzi yao binafsi yatakayowafurahisha na kuwafaidisha hata kama yatakukera.
Kwenye mada lazima umalizoe na solution,me solution yangu mkuu,kama wanakukera acha nao tu.hawapangiwi ni utashi wao.
Kibwagizo: maishani mwangu azam tv nmeona mara 4 tu tena kwa watu
Kweli aisee mimi naangalia nikiwa lodge namla kiumbe wa watu
 
Na kama itatokea Sports Pesa Wakawa wadhaminhp Wakuu wa Tpl Inamaana Azam Watavunja Mkataba na kujitoa Kurusha Mechi za Ligi kuu Tanzania Inayodhaminiwa na Sports Pesa?

kwenu Wadau
 
Na kama itatokea Sports Pesa Wakawa wadhaminhp Wakuu wa Tpl Inamaana Azam Watavunja Mkataba na kujitoa Kurusha Mechi za Ligi kuu Tanzania Inayodhaminiwa na Sports Pesa?
kwenu Wadau
Hapana, Sportpesa wanafanya biashara ya kujitanua hivyo mashindano wanayoyaanzisha wao wanataka kila mtu apate nafasi ya kuyatizama.
Ukifuatilia kwa umakini utagundua Sportpesa wametengeneza Brand kubwa sana Bongo kwa mda mfupi ila hawana wateja wengi.

Sasa Tafakari warushe mechi zao Azam tv ambako mteja wa Startimes au Continental hawatampata nini maana yake?
Hawajakataa wala kukubali kwa kuwa tenda za namna hii hupewa vyombo vingine wao ni kurusha tu.
Camera zinazotumika ni za Sportpesa ila wakati wanaanza ITV ndio walitumia makamera yao na kwa kuwa waliharibu hawajapata tena hiyo tenda.
 
Sportpesa ni kamali mjue hilo! Ndiyo maana TBL imekuwa ngumu kufanya kazi na azam, azam walisema watajitoa endapo kampuni ya pombe itapewa udhamini.

Kwa hiyo sahau kuona game za sportpesa zikirushwa na azam tv
Mbona sasa wanarusha mech za simba na yanga ambao wana zaminiwa na kamali
 
Na kama itatokea Sports Pesa Wakawa wadhaminhp Wakuu wa Tpl Inamaana Azam Watavunja Mkataba na kujitoa Kurusha Mechi za Ligi kuu Tanzania Inayodhaminiwa na Sports Pesa?

kwenu Wadau
Habari za chini ya carpet inasemekana Azam wanasema awawezi kuwa partner na kampuni ya kamari(sportpesa)
 
Hao watu ni waswahili waswahili tu

Mwanzo mwa miaka ya 2000 walikuwa wanadai mpira ni haramu
Sijui wakufikia wapi
 
Sport pesa si Biashara.... kubatisha

Kama mikataba aijakaa sawa sio rahisi
 
Mo mwenyewe ile charter ya SportPesa anatamani aifute kifuan mwa simba, sema ndo hivo ule ni mkataba alishaukuta,
Uislam+pombe+kamari= haram
 
Azam TV hawaoneshi game zinazoandaliwa na Kampuni ya SportPesa, iwe lile kombe la SportPesa Super Cup linazokutanisha timu za Afrika Mashariki au hata mechi ya juzi kati ya Sevilla na Simba awakurusha

Na wasingerusha hapa bongo Simba, Yanga, Singida na Mbao ndio zina uzamini wa SportPesa sasa kwenye kombe la SportPesa mechi zao awarushi wala promo akuna

Lakii timu hizo hizo zikiwa zimekumbatia kifuani jina la kampuni ya SportPesa bwana kamari mechi zao ligi kuu wanarusha na kamera zilezile walizogoma rushia mechi za SportPesa.

Siku wanayo kutana Simba vs Yanga then Singida vs Mbao na mabango ya sportpesa kifuani. Je hapo si wamekimbia chui na kuvamia duma?!

NB Azam aijawai shiriki tusker cup kwa kua ni pombe Je wako sahihi au sio sahii

POLENI KWA UANDISH MBOVU POVU POA
Tafuta pesa na wewe uweke masharti yako.....mwezio dini yake haitaki hzo mambo kashaamua na cha kumfanya huna.
 
Tafuta pesa na wewe uweke masharti yako.....mwezio dini yake haitaki hzo mambo kashaamua na cha kumfanya huna.
[/QUOTEsawa dini inakataa simba na yanga wanavaa jezi yenye nembo ya sportpesa sasa apo umeheshim dini
 
Back
Top Bottom