AZAM MEDIA tafuteni njia nzuri za kurecord mechi katika uwanja wa UHURU, angle mnazo-record ni za ovyo

Mkono Mmoja

JF-Expert Member
Jan 26, 2019
1,932
4,086
Mara kadhaa nimekuwa nikifuatilia matangazo yenu mubashara kutoka uwanja wa UHURU na kuangalia angles mnazorikodi mechi kwa camera zenu na kugundua kuwa hazimpi mtazamaji wa matangazo yenu ya mpira katika uwanja wa uhuru uwezo wa kuona mechi vizuri.

Wito wangu kwa kampuni ya AZAM MEDIA ni kuwa muongeze idadi ya camera katika uwanja wa UHURU na pia mjitahidi kuweka camera zitakazorikodi kutoka juu ili tuuone uwanja katika ukubwa wake kama mechi za EPL na ligi nyingine barani ulaya.

Leo hii nadhani idadi ya camera zinazotumika kurecord matangazo mubashara ya mechi kati ya Simba dhidi ya Kagera Sugar hazizidi tatu na hakuna camera ya juu hata moja.
 
Washa sema uwanja wa Uhuru upo karibu na jeshi hawaruhusu kutumia drone footage,
Hapo wala huitaji drone , ni camera kuiweka juu ya jukwaa kama walivyokua wanafanya ITV zamani ,uwnja wa uhuru ili upate wide shot na ukwepe hizo nguzo za bendera lazima upande juu ya jukwaa uweke camera

NB ,zile nguzo za benderaa ni lazima ziwepo pale?
 
Hapo wala huitaji drone , ni camera kuiweka juu ya jukwaa kama walivyokua wanafanya ITV zamani ,uwnja wa uhuru ili upate wide shot na ukwepe hizo nguzo za bendera lazima upande juu ya jukwaa uweke camera

NB ,zile nguzo za benderaa ni lazima ziwepo pale?
Kabisa walitakiwa waweke camera juu ya jukwaa ili kupata matukio kwa upana wake
 
Mara kadhaa nimekuwa nikifuatilia matangazo yenu mubashara kutoka uwanja wa UHURU na kuangalia angles mnazorikodi mechi kwa camera zenu na kugundua kuwa hazimpi mtazamaji wa matangazo yenu ya mpira katika uwanja wa uhuru uwezo wa kuona mechi vizuri.

Wito wangu kwa kampuni ya AZAM MEDIA ni kuwa muongeze idadi ya camera katika uwanja wa UHURU na pia mjitahidi kuweka camera zitakazorikodi kutoka juu ili tuuone uwanja katika ukubwa wake kama mechi za EPL na ligi nyingine barani ulaya.

Leo hii nadhani idadi ya camera zinazotumika kurecord matangazo mubashara ya mechi kati ya Simba dhidi ya Kagera Sugar hazizidi tatu na hakuna camera ya juu hata moja.
Walisha litolea ufafanuzi. Pale JWTZ hawataki ziwekwe camera za jukwaani. Sababu ya Kambi yao
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom