Mlaleo
JF-Expert Member
- Oct 11, 2011
- 13,387
- 9,756
- Thread starter
- #21
Duh Mtambani ndio wapi huko? dah na jamaa walikuwa watatu tu?Kuna kisa kimoja, huyu jamaa aliiba msikitini pale Sinza, akawa anatafutwa, sasa kwa kutegemea zile nguvu zake, wakawa wanashindwa kumkamata... Ikashuriwa waitwe vijana kutoka Mtambani, wakaja vijana kama watatu hivi...! Baada ya masaa kadhaa, wakamleta akiwa nyang'anyang'a, uku kabebwa.
Sasa uko Kinondoni alipo hamia, afanye afanyayo, akiingia tu anga za hawa jamaa, hajue amekwisha.