Awezaye kutabiri aniambie miaka 10 ya Mhe magufuli Tanzania itakuwa wapi??

Umeuliza swali zuri sana kwa mustakabali wa Tanzania, binafsi ninaamini wa Tanzania watafahamu vizuri thamani ya maisha kwa sababu maisha ya mkatomkato yatakuwa hakuna, watu watafanya kazi kwa bidìi, kila mtu atathamkini kipato chake kulingana na uwezo wake wa kufanya kazi, rushwa itapungua sana!!!!
 
Mpaka nikijua uelekeo wa Jecha!
Ila usiseme kumi, hii namba inasomeka mpaka uchindile

[HASHTAG]#tukutane2020[/HASHTAG]
 
Choice ni yake atairudisha nyuma kama Nyerere alivyoicha, au atailetea mafanikio makubwa in terms of gdp na uchumi unaowafikia watu kuliko yoyote aliemtangulia.

Tofauti kubwa kati yake na nyerere ni kwamba mmoja akutumia rasimali na wala hakuwa na wataalamu wa kutosha.

Leo wapo wamejaa tele recycle ya kutumia wataalamu wa usalama wa taifa ambao wengi wao vyeti wamechonga kwa sababu ya hizi promotion atutakwenda. Sehemu muhimu za maendeleo zinahitaji kuendeshwa na wataalamu sio watu waliopekuliwa na usalama wakaonekana wanafaa. Tunatoa watu huku wanakwenda kule wakati awana uwezo wowote zaidi ya kazi za umbea huku tunaacha vipaji vyenye mawazo idle; that is the nonsense which has stop.
 
Nchi kuendelea kiutamaduni, kisiasa, kiuchumi na kiteknolojia huwa ni mchakato.

Sasa wale mnaoweza KUTABIRI nijuzeni miaka ya utawala wa Mhe. JPM TANZANIA Itakuwa wapi??

1. Tutakuwa na maendeleo ya kisiasa zaidi ya watangulizi wake??

2. Tutakuwa na maendeleo ya kiuchumi - zaidi ya tulivyo sasa?? -

3. Tanzania itakuwa na watu wenye mshikamano na umoja kama ikivyokuwa wakati wa Nyerere??

4. Nchini Zanzibar (Pemba na Unguja) watashirikiana kabisa na kuwa kitu kimoja?

WATANZANIA TUMWOMBEE MAGUFULI ILI ATAWALIWE NA HEKIMA KILA AAMUWAPO JAMBO AKIWA RAIS WA NCHI.

VISASI KAMWE VISIWEPO KWA KUNDI LOLOTE LILILOMPINGA, LINALOMPINGA NA LITAKALOMPINGA MBELENI.
MUNGU IBARIKI TANZANIA
Majusi wameshasema hatoboi 2020 bwana atamtwaa wewe unasema miaka kumi fikiri vizuri
 
Nchi kuendelea kiutamaduni, kisiasa, kiuchumi na kiteknolojia huwa ni mchakato.

Sasa wale mnaoweza KUTABIRI nijuzeni miaka ya utawala wa Mhe. JPM TANZANIA Itakuwa wapi??

1. Tutakuwa na maendeleo ya kisiasa zaidi ya watangulizi wake??

2. Tutakuwa na maendeleo ya kiuchumi - zaidi ya tulivyo sasa?? -

3. Tanzania itakuwa na watu wenye mshikamano na umoja kama ikivyokuwa wakati wa Nyerere??

4. Nchini Zanzibar (Pemba na Unguja) watashirikiana kabisa na kuwa kitu kimoja?

WATANZANIA TUMWOMBEE MAGUFULI ILI ATAWALIWE NA HEKIMA KILA AAMUWAPO JAMBO AKIWA RAIS WA NCHI.

VISASI KAMWE VISIWEPO KWA KUNDI LOLOTE LILILOMPINGA, LINALOMPINGA NA LITAKALOMPINGA MBELENI.
MUNGU IBARIKI TANZANIA
[HASHTAG]#JUSTICE[/HASHTAG] FOR LEMA
[HASHTAG]#BRING[/HASHTAG] BACK OUR BEN
[HASHTAG]#FREE[/HASHTAG] MAXENCE MELLO
 
1. Siasa ya upinzani itadorola japo CCM itaendelea kuwa na nguvu.
2. wananchi tutaheshimiana
3. vijana tutapata tu mawazo ya kujiajiri kutokana na serikali kubana ajira.
4. Serikali itakuwa na uchumi imara.
5. wananchi tutakuwa na nidhamu ya fedha.
6. Na mimi nitagombea ubunge jimbo fulani ivi na nitashinda ikibidi kwa kutumia njia iliyompa ushindi Trumph.
You are not serious!!!

[HASHTAG]#JUSTICE[/HASHTAG] FOR LEMA
[HASHTAG]#BRING[/HASHTAG] BACK OUR BEN
[HASHTAG]#FREE[/HASHTAG] MAXENCE MELLO
 
Nchi kuendelea kiutamaduni, kisiasa, kiuchumi na kiteknolojia huwa ni mchakato.

Sasa wale mnaoweza KUTABIRI nijuzeni miaka ya utawala wa Mhe. JPM TANZANIA Itakuwa wapi??

1. Tutakuwa na maendeleo ya kisiasa zaidi ya watangulizi wake??

2. Tutakuwa na maendeleo ya kiuchumi - zaidi ya tulivyo sasa?? -

3. Tanzania itakuwa na watu wenye mshikamano na umoja kama ikivyokuwa wakati wa Nyerere??

4. Nchini Zanzibar (Pemba na Unguja) watashirikiana kabisa na kuwa kitu kimoja?

WATANZANIA TUMWOMBEE MAGUFULI ILI ATAWALIWE NA HEKIMA KILA AAMUWAPO JAMBO AKIWA RAIS WA NCHI.

VISASI KAMWE VISIWEPO KWA KUNDI LOLOTE LILILOMPINGA, LINALOMPINGA NA LITAKALOMPINGA MBELENI.
MUNGU IBARIKI TANZANIA
Watanzania mtaelewa nini maana ya kulipa kodi na mtalipa bila kushurutishwa.

Nchi itakuwa na maendeleo makubwa sana, kutokana na ongezeko la viwanda

Shirika letu la ndege litakuwa linashindana na KLM

Tutakuwa na Tren za kisasa kabisa.

Kutakuwa na heshima na nidhamu kwa kila Mtanzania

Uzinzi na Uasherati vitapungua sana maana kutakuwa hakuna pesa za mchezo mchezo(pesa za dili)

Vyama vya ovyo vyo kama CHADEMA vitajifia tu vyenyewe, hivyo amani ya nchi itaongezeka.

Wasomi wataongezeka sana na watakuwa ni wasomi halali sio wasomi "magumashi"

Wakulima wataongezeka sana kwani wapiga dili wote itabidi tu sasa wakalime, hivyo mazao yataongezeka na bei ya chakula itashuka sana.
Hakika naiona Tanzania mpya yenye "neema"
 
Watanzania mtaelewa nini maana ya kulipa kodi na mtalipa bila kushurutishwa.

Nchi itakuwa na maendeleo makubwa sana, kutokana na ongezeko la viwanda

Shirika letu la ndege litakuwa linashindana na KLM

Tutakuwa na Tren za kisasa kabisa.

Kutakuwa na heshima na nidhamu kwa kila Mtanzania

Uzinzi na Uasherati vitapungua sana maana kutakuwa hakuna pesa za mchezo mchezo(pesa za dili)

Vyama vya ovyo vyo kama CHADEMA vitajifia tu vyenyewe, hivyo amani ya nchi itaongezeka.

Wasomi wataongezeka sana na watakuwa ni wasomi halali sio wasomi "magumashi"

Wakulima wataongezeka sana kwani wapiga dili wote itabidi tu sasa wakalime, hivyo mazao yataongezeka na bei ya chakula itashuka sana.
Hakika naiona Tanzania mpya yenye "neema"
Looks like you have all the answers, then why asking?
 
Back
Top Bottom