Mkuu, huwezi KUENDESHA GARI halafu ibaki hapa hapa. Lazima itatembea kwenda mbele au kurudi nyuma!Itakuwa hapa haiendi popote.
Mkuu, huwezi KUENDESHA GARI halafu ibaki hapa hapa. Lazima itatembea kwenda mbele au kurudi nyuma!Itakuwa hapa haiendi popote.
Umreotaaa uonee cha motoNchi kuendelea kiutamaduni, kisiasa, kiuchumi na kiteknolojia huwa ni mchakato.
Sasa wale mnaoweza KUTABIRI nijuzeni miaka ya utawala wa Mhe. JPM TANZANIA Itakuwa wapi??
1. Tutakuwa na maendeleo ya kisiasa zaidi ya watangulizi wake??
2. Tutakuwa na maendeleo ya kiuchumi - zaidi ya tulivyo sasa?? -
3. Tanzania itakuwa na watu wenye mshikamano na umoja kama ikivyokuwa wakati wa Nyerere??
4. Nchini Zanzibar (Pemba na Unguja) watashirikiana kabisa na kuwa kitu kimoja?
WATANZANIA TUMWOMBEE MAGUFULI ILI ATAWALIWE NA HEKIMA KILA AAMUWAPO JAMBO AKIWA RAIS WA NCHI.
VISASI KAMWE VISIWEPO KWA KUNDI LOLOTE LILILOMPINGA, LINALOMPINGA NA LITAKALOMPINGA MBELENI.
MUNGU IBARIKI TANZANIA
Nlijua unamsemea Mungu!! Kumbe ni mungu???Huwezi kujua yakesho kwani wewe mungu?
Mambo yakutabiri mwisho kwenye mipira
Lakini kwa nchi hilo analijua mungu tu.
Hapa nikuzidisha maombi kwa Rais wetu mwenyezi mungu azidi kumlinda na kuumpa nguvu zaidi.
Ninachokijua kwa uhakika ni kuwa Tanzania haitakuwa hapa!
Wanafalsafa wa Ki-Marx wanasema kila kitu, ikiwemo Tanzania, kipo katika hali ya mwendo. Hakuna kitu ninachobaki hapo hapo!Duh mkuu Tanzania itahamia wapi sayari ya Mars?
Kama kweli Mungu yupo, sioni miaka 10 ya magu. Amini usiaminiNchi kuendelea kiutamaduni, kisiasa, kiuchumi na kiteknolojia huwa ni mchakato.
Sasa wale mnaoweza KUTABIRI nijuzeni miaka ya utawala wa Mhe. JPM TANZANIA Itakuwa wapi??
1. Tutakuwa na maendeleo ya kisiasa zaidi ya watangulizi wake??
2. Tutakuwa na maendeleo ya kiuchumi - zaidi ya tulivyo sasa?? -
3. Tanzania itakuwa na watu wenye mshikamano na umoja kama ikivyokuwa wakati wa Nyerere??
4. Nchini Zanzibar (Pemba na Unguja) watashirikiana kabisa na kuwa kitu kimoja?
WATANZANIA TUMWOMBEE MAGUFULI ILI ATAWALIWE NA HEKIMA KILA AAMUWAPO JAMBO AKIWA RAIS WA NCHI.
VISASI KAMWE VISIWEPO KWA KUNDI LOLOTE LILILOMPINGA, LINALOMPINGA NA LITAKALOMPINGA MBELENI.
MUNGU IBARIKI TANZANIA
Atamkumbuka lemaKama kweli Mungu yupo, sioni miaka 10 ya magu. Amini usiamini
Usimlaumu mkuu, atakuwa anajua fika kuwa hapa tume ya uchaguzi ikiamua miaka kumi ndio imetoka.Urais ni miaka mitano,kumi umeitolea wapi?
Mwenyezi Mungu anaona kila Jambo linalotendeka,Ni kazi yake kutoa HukumuHuwezi kujua yakesho kwani wewe mungu?
Mambo yakutabiri mwisho kwenye mipira
Lakini kwa nchi hilo analijua mungu tu.
Hapa nikuzidisha maombi kwa Rais wetu mwenyezi mungu azidi kumlinda na kuumpa nguvu zaidi.