Awamu ya Zanzibar kutuletea mgombea urais

Awamu ya Zanzibar kutuletea mgombea urais

Raisi kutoka nchi jirani. ....imekaaje hiyo. [emoji23][emoji23][emoji23]Wabadilishe katiba yao kwanza! !!
 
Zanzibar hatuhitaji huruma ya kupewa urais na watanganyika bali tunahitaji zanzibar huru yenye mamlaka yake kamili.
 
Mkuu, Mayala unakataa kuwa kanisa haluna nguvu yeyote kwenye siasa na muungano huu,
Haujawau kusikia maoni ya muwakililishi wa Francis wa 16 kuhusu utawala huu ?
kwanini mashambulizi dhidi ya mtafu (kila mwezi hayapo) au sababu ni kauli mbiu "" huyu wetu"" ?
Maoni yako ni yapi kuhusu visiwani kutoa kiongozi wa nchi in relation na siasa za kibaguzi na kiitaikadi na dini zinzvyozidi kuongezeka duniani na hasa hapa nyumbani ?
 
Kwani wamepungukiwa nini? Z'bar ni nchi kamali sasa kinachosumbua ni njaa ya wachache walioko ccm wanajua wakijitenga wao ulaji utakuwa haupo. Nitashangaa wakati huu ambapo WaZ'bar wanajua kama wao wanapendelewa atajitokeza 1 atakayesema kuwa awamu ijayo rais atoke Zbar!
 
Hata hivyo wazanzibari wengi ni wapole sana, Tanganyika haitaki upole wala kuchekacheka, unakuja kustuka wale waliokabidhiwa kudhibiti rushwa ndio wala rushwa wakubwa
 
Wazanzibar sasa ni wakati wenu kututolea mtu wa kuendesha hili lori TANZANIA maana kila kukicha ni bara tuuu ina maana wazanzibar nyie hamna uwezo wa kutoa mtu wa kusimama kidete?

Kwa kuwasaidia tu anzeni kumuandaa mtoto wa mzee Mwinyi aje kupeperusha kwa niaba ya wazenji.

Miaka hii mitatu inatosha kujiandaa.
Wazenji wamekomaa na kudai uhuru wao kutoka kwa tanganyika. Habari za kutowa raisi wa muungano kwao sio jambo la maana kwa wale wanaojielewa. Fuatilia harakati zao tangu mapinduzi ya Zanzibar mpaka muda huu utagundua wanavyoipelekesha serikali ya muungano.
 
Kama rais wa muungano akitoka zanzibar, vilevile inabidi rais wa zanzibar atokee Tanzania bara
 
Acha wendawazimu wako mbona cc wabara hatujaenda kugombea huo urais zanzibar?bungeni wapo cc kwao hatupo wapi na wapi?
Hili tatizo lipo miaka mingi sana tangu uasisiwe muungano wewe umechelewa kuelewa. Serikali ya Tanganyika imechukuwa madaraka ya kuwa ndio serikali ya Tanzania apo ndipo ilipoanzia hii sintofahamu. Hebu jiulize kwanini kusiwe na serikali 3 tangu apo walipokubaliana kuungana?
 
Back
Top Bottom