Awamu ya Zanzibar kutuletea mgombea urais

Awamu ya Zanzibar kutuletea mgombea urais

MWALLA

JF-Expert Member
Joined
Dec 12, 2006
Posts
16,952
Reaction score
10,512
Wazanzibar sasa ni wakati wenu kututolea mtu wa kuendesha hili lori TANZANIA maana kila kukicha ni bara tuuu ina maana wazanzibar nyie hamna uwezo wa kutoa mtu wa kusimama kidete?

Kwa kuwasaidia tu anzeni kumuandaa mtoto wa mzee Mwinyi aje kupeperusha kwa niaba ya wazenji.

Miaka hii mitatu inatosha kujiandaa.
 
Wazanzibar sasa ni wakati wenu kututolea mtu wa kuendesha hili lori TANZANIA maana kila kukicha ni bara tuuu ina maana wazanzibar nyie hamna uwezo wa kutoa mtu wa kusimama kidete?

Kwa kuwasaidia tu anzeni kumuandaa mtoto wa mzee Mwinyi aje kupeperusha kwa niaba ya wazenji.

Miaka hii mitatu inatosha kujiandaa.
Kwann mtoto wa Mwinyi?

Inamaana kati yao wte hakuna mwenye uwezo isipokuwa huyo ambaye baba yake amewahi kuwa rais mwataka na mtoto pia?

Halafu haya mazoea yanataka kujenga tabia, badala ya kujenga nchi na aliyepo mnawaza atae kuja

Hivi nani aliyewaloga
 
Wazanzibar sasa ni wakati wenu kututolea mtu wa kuendesha hili lori TANZANIA maana kila kukicha ni bara tuuu ina maana wazanzibar nyie hamna uwezo wa kutoa mtu wa kusimama kidete?

Kwa kuwasaidia tu anzeni kumuandaa mtoto wa mzee Mwinyi aje kupeperusha kwa niaba ya wazenji.

Miaka hii mitatu inatosha kujiandaa.
Prof Mbarawa ametukuna wengi...
 
Kwann mtoto wa Mwinyi?

Inamaana kati yao wte hakuna mwenye uwezo isipokuwa huyo ambaye baba yake amewahi kuwa rais mwataka na mtoto pia?

Halafu haya mazoea yanataka kujenga tabia, badala ya kujenga nchi na aliyepo mnawaza atae kuja

Hivi nani aliyewaloga

Huu ndio ugonjwa siupendi wa kukurupuka unadandia kwa mbele ukimwagiwa utasema umionewa??

Soma ujumbe mwanzo mwisho ndo utoe lililokukwama ucwe kama yule aliekurupuka kununua mipangaboi bila kushauriwa sasa imikamatwa huko na wewe ndo unaumwa ugonjwa huo
 
Huu ndio ugonjwa siupendi wa kukurupuka unadandia kwa mbele ukimwagiwa utasema umionewa??
Soma ujumbe mwanzo mwisho ndo utoe lililokukwama ucwe kama yule aliekurupuka kununua mipangaboi bila kushauriwa sasa imikamatwa huko na wewe ndo unaumwa ugonjwa huo
Wana JF mniombee

Mwalla kasema Nina ugonjwa tena kanifananisha na Mr pangaboi
 
Zanzibar ni nchi au sio nchi? ccm wanasema sio nchi. Nadhani kwa jibu hilo utakuwa umeelewa
 
mi naona muungano ukivunjwa itapendeza kama mia tisa..
wazanzibar wameongoza hadi jumuiya za kimataifa kama OAU kwa ufanisi mkubwa lakini Watanganyika wakasema hawana sifa..

vimeo vinavyoogopa hata kwenda UN kujenga hoja, eti mia tisa imependeza magogoni..
nyakati za manyani wasioona nyuchi zao..
kkkkkkk
 
Wazanzibar sasa ni wakati wenu kututolea mtu wa kuendesha hili lori TANZANIA maana kila kukicha ni bara tuuu ina maana wazanzibar nyie hamna uwezo wa kutoa mtu wa kusimama kidete?

Kwa kuwasaidia tu anzeni kumuandaa mtoto wa mzee Mwinyi aje kupeperusha kwa niaba ya wazenji.

Miaka hii mitatu inatosha kujiandaa.
IMG_20171117_172226.jpg

Jecha anawasalimia
 
Back
Top Bottom