Ramesses II
JF-Expert Member
- Sep 29, 2013
- 4,218
- 5,898
Nchi haiko hivo. Mbona kila siku watu wanatoka sehemu moja kwenda kugombea sehemu nyingine. Muhongo alikuwa anaishi mjini, kaenda kugombea Musoma vijijini kapeta. Zito kwao Kigoma Kaskazini, sasa hivi ni Mbunge wa Kigoma Ujiji.Ulishaenda kuomba kugombea ukakataliwa?
Si unasema tanzania ni moja..
Nikupe mfano wewe kama unakaa dodoma kisha nenda mtwara kajaribu kuomba kugombea kiti mfano cha udiwani tu utapata majibu yako.