Mwifwa
JF-Expert Member
- Apr 3, 2017
- 46,924
- 122,195
Ukijisemea peke yako inapendeza zaidi..Prof Mbarawa ametukuna wengi...
Ukijisemea peke yako inapendeza zaidi..Prof Mbarawa ametukuna wengi...
Hapana. Mtu kama Salim Ahmed Salim alifaa kabisa. Nani mwingine ana nguvu na ushawishi atapewa hiyo kazi? Maalimu?Mtoto wa Mwinyi nazani ni the next president of Zanzibar...kwa huko bara nazani tutaendelea kupewa umakamu tu kama kawaida...maana nazani ndo nafasi waliotuchagulia wana Chimwaga.
Zanzibar sio nchi- by Peter PindaKwani mgombea anatakiwa atoke upande upi wa nchi hizi 2
Ahahahaaa mkuu unaogopa kukunwa na ProfesaUkijisemea peke yako inapendeza zaidi..
Hawa mapropesa hawaaminiki mkuu.Ahahahaaa mkuu unaogopa kukunwa na Profesa
Hata hili la makamu itabidi lije liangaliwe. Tunahitaji rais na makamu wake wawe wamejitosheleza kiuwezo. Kama wote watakuwa wazenji au wachaga, fine.Mtoto wa Mwinyi nazani ni the next president of Zanzibar...kwa huko bara nazani tutaendelea kupewa umakamu tu kama kawaida...maana nazani ndo nafasi waliotuchagulia wana Chimwaga.
Jechaaaa
Siyo pekeyake...Amekukuna pekeyako
No, hakuna kitu kama hicho, kwenye bandiko hili nimekizungumzia.Nguvu ya Wakatoliki ni kubwa sana....
Naunga mkono hoja.Wazanzibar sasa ni wakati wenu kututolea mtu wa kuendesha hili lori TANZANIA maana kila kukicha ni bara tuuu ina maana wazanzibar nyie hamna uwezo wa kutoa mtu wa kusimama kidete?