Kama ni Hussein Mwinyi hata mimi nakuunga mkono. Mimi simfahamu binafsi lakini nina rafiki yangu wa karibu ambaye anamfahamu huyo bwana vizuri sana, alikuwa anaongelea mambo mazuri sana kuhusu yeye. Nakumbuka hayo maongezi yalikuwa takribani miaka miwili iliyopita na mimi bila kusita nikamwambia rafiki yangu huyu anaweza akawa rais sikumoja. Rafiki yangu anasema Dk. Mwinyi alikuja hapa Uingereza kusomea shahada ya udakitari lakini kwasababu masomo yake ya awali aliyafanyia Uturuki Waingereza wakawa na shaka na kiwango chake cha elimu wakamwambia arudie level ileile ambayo alikwisha isoma Uturuki kwa kiwango cha hapa Uingereza lakini baadae wakamwacha aendelee na level ya juu kwasababu kila kitu kilikuwa rahisi kwake. Lakini si elimu tu, pia nasikia ni mtu wa busara. Halafu nilivyokuja likizo Tanzania mwaka 2015 nilikuwa naongea na mdogo wangu mambo ya siasa ikaja tena habari ya Dk. Mwinyi. Mdogo wangu akaniambia pale Muhimbili alikuwa ni mchapakazi kweli mpaka baadhi ya madaktari wenzake walikuwa wanamchukia, baadhi yao walikuwa ni wavivu (kama tulivyo Watanzania!). Sasa wakimuona anafanya kazi sana wanasema eti anajifanya anajua. Nasikia alikuwa akimaliza kazi pale Muhimbili haondoki mpaka afanye 'handover' kwa daktari anayefuata wakati daktari mwingine angeondoka na kuacha wagonjwa akawahi kukata kiu kwenye baa.
TsafuRD,Mtanzania yeyote mwenye sifa ana haki ya kuwa Rais wa nchi hii. Siyo lazima atoke zanzibar maana na Zanzibar ni sehemu ya Tanzania kama ilivyo CHATO, Mtwara, Nkasi n.k
Uko sawa mkuu ispokuwa mimi nimejaribu kuwasaidia kiushauri tu hawa ndugu zetu wajaribu kuamka kwa kufanya wanayoweza kwa manufaa ya nchi yao na vizazi vyao.Kama ni Hussein Mwinyi hata mimi nakuunga mkono. Mimi simfahamu binafsi lakini nina rafiki yangu wa karibu ambaye anamfahamu huyo bwana vizuri sana, alikuwa anaongelea mambo mazuri sana kuhusu yeye. Nakumbuka hayo maongezi yalikuwa takribani miaka miwili iliyopita na mimi bila kusita nikamwambia rafiki yangu huyu anaweza akawa rais sikumoja. Rafiki yangu anasema Dk. Mwinyi alikuja hapa Uingereza kusomea shahada ya udakitari lakini kwasababu masomo yake ya awali aliyafanyia Uturuki Waingereza wakawa na shaka na kiwango chake cha elimu wakamwambia arudie level ileile ambayo alikwisha isoma Uturuki kwa kiwango cha hapa Uingereza lakini baadae wakamwacha aendelee na level ya juu kwasababu kila kitu kilikuwa rahisi kwake. Lakini si elimu tu, pia nasikia ni mtu wa busara. Halafu nilivyokuja likizo Tanzania mwaka 2015 nilikuwa naongea na mdogo wangu mambo ya siasa ikaja tena habari ya Dk. Mwinyi. Mdogo wangu akaniambia pale Muhimbili alikuwa ni mchapakazi kweli mpaka baadhi ya madaktari wenzake walikuwa wanamchukia, baadhi yao walikuwa ni wavivu (kama tulivyo Watanzania!). Sasa wakimuona anafanya kazi sana wanasema eti anajifanya anajua. Nasikia alikuwa akimaliza kazi pale Muhimbili haondoki mpaka afanye 'handover' kwa daktari anayefuata wakati daktari mwingine angeondoka na kuacha wagonjwa akawahi kukata kiu kwenye baa.
Ulishaenda kuomba kugombea ukakataliwa?Kasema nani kuwa kuna zama?
Kama ndivyo nami mbara nisiye na chama ntaenda kugombea Zanzibari ati!? Unashangaa nini!?
Kwahiyo dr. Husein tuambie kwao ni wapiDk Mwinyi sio mzanzibari kama vile Salim Ahmed Salim hawa watu ni wazanzibari jina tu,hawana uhusiano wowote na zanzibar kisiasa,kimila hawaijui Zanzibar,hawa watu ni "sale out"......
Karume ndio anafaa kuwa raisi wa Tanzania kutoka Zanzibar...
Ana uzoefu mkubwa wa kufanya kazi na majeshi ya ulinzi nchini.Kwann mtoto wa Mwinyi?
Inamaana kati yao wte hakuna mwenye uwezo isipokuwa huyo ambaye baba yake amewahi kuwa rais mwataka na mtoto pia?
Halafu haya mazoea yanataka kujenga tabia, badala ya kujenga nchi na aliyepo mnawaza atae kuja
Hivi nani aliyewaloga
TsafuRD,
Hakika Mtanzania yeyote anaweza kuwa rais wa Tanzania.
Lakini kuweka mizania katika utawala wa nchi yeyote hili ni jambo la lazima.
Ikiwa kila siku rais anatoka Tanzania Bara hii inaweza kuleta fitna baina ya
nchi mbili hizi zilizoungana.
Halikadhalika ikiwa jamii moja katika nchi inahodhi fursa zote katika nchi
hii pia ni chanzo farka.
Zanzibar haijapata kuwa kama Chato, Mtwara nk na haitakuwa.
Zanzibar ni nchi iliyoungana na Tanganyika.
jingalaoTsafuRD,
Hakika Mtanzania yeyote anaweza kuwa rais wa Tanzania.
Lakini kuweka mizania katika utawala wa nchi yeyote hili ni jambo la lazima.
Ikiwa kila siku rais anatoka Tanzania Bara hii inaweza kuleta fitna baina ya
nchi mbili hizi zilizoungana.
Halikadhalika ikiwa jamii moja katika nchi inahodhi fursa zote katika nchi
hii pia ni chanzo farka.
Zanzibar haijapata kuwa kama Chato, Mtwara nk na haitakuwa.
Zanzibar ni nchi iliyoungana na Tanganyika.
Poor tanzagizaAna uzoefu mkubwa wa kufanya kazi na majeshi ya ulinzi nchini.
Hahahahahah!......lakini ni waziri pekee aliyehudumu kwenye hii wizara kwa muda mrefu. Binafsi namwona kama mtu composed.Poor tanzagiza
HoiiKwanza hii tabia ya kujadili mrithi wa rais kaianzisha nani ili hali rais hata nusu ya muda wake hajafikisha?
Huu ni upuuzi
baadaya kuungana kila nchi ilipoteza sovereignity yake na kutengeneza nchji moja. Hivyo siyo nchi mbili tena. Ingekuwa hivyo nchi kama USA si wangekuwa wanapata shida sana kumpata Rais wa nchi? maana USA ni muunganiko wa nchi 52.TsafuRD,
Hakika Mtanzania yeyote anaweza kuwa rais wa Tanzania.
Lakini kuweka mizania katika utawala wa nchi yeyote hili ni jambo la lazima.
Ikiwa kila siku rais anatoka Tanzania Bara hii inaweza kuleta fitna baina ya
nchi mbili hizi zilizoungana.
Halikadhalika ikiwa jamii moja katika nchi inahodhi fursa zote katika nchi
hii pia ni chanzo farka.
Zanzibar haijapata kuwa kama Chato, Mtwara nk na haitakuwa.
Zanzibar ni nchi iliyoungana na Tanganyika.
Hata huyu mlimwona hivyo hivyoHahahahahah!......lakini ni waziri pekee aliyehudumu kwenye hii wizara kwa muda mrefu. Binafsi namwona kama mtu composed.
Mie au sirikaliHoii
Acha dhihaka kwa nchi za watuYaani tuongozwe na Rais kutoka nchi nyingine?
Maajabu haya