makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 37,518
- 108,705
Anafaa kuitwa denis.kumbe we mdaiwa sugu badala ya kupunguza deni unataka kuongeza deni.
Sent using Jamii Forums mobile app
Anafaa kuitwa denis.kumbe we mdaiwa sugu badala ya kupunguza deni unataka kuongeza deni.
mm siwalipiNadaiwa na loan board na deni linaisha mwezi ujao. Nashukuru Mungu.
Hahahahakuna engineer anadaiwa mil24 loan board
na anakatwa laki na nusu! na kila mwaka wanaongeza 6% kwa salio la mkopo hapo loanboard! atazeeka akidaiwa
hawanipati na hawatanikataKivip watakuwa hawakukati au hujaajiriwa mkuu
Nna deni la tsh lak 3 kwenye kikund nmepanga silipi wakate kwenye hisa zangu mzunguko unapoishaWaungwana Salam sana,
Kipindi hichi kama huna deni pahali popote basi jua kabisa una kipato kizuri, na mshukuru. Sana Mungu
Mimi binafsi nina deni kwenye kikundi, laki moja,
Mchango wa harusi elfu 55,
Ada ya mtoto shule bado laki moja,
Kwenye jumuia (katoliki) nina deni la elf 80,
Kwa wale Wenye madeni kama mimi tupeane tupeane uzoefu wa jinsi ya kulipa madeni madogo na makubwa
Hongera likiisha naomba unitoe lunch popote utakapokuwaNadaiwa na loan board na deni linaisha mwezi ujao. Nashukuru Mungu.
Mimi kikundi nikilipa hilo deni Lao sikopi tenaNna deni la tsh lak 3 kwenye kikund nmepanga silipi wakate kwenye hisa zangu mzunguko unapoisha
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii inaniumiza sana kichwa natamani kumaliza deni lote kwa awamu mojakuna engineer anadaiwa mil24 loan board
na anakatwa laki na nusu! na kila mwaka wanaongeza 6% kwa salio la mkopo hapo loanboard! atazeeka akidaiwa
deni ni deni tu hata kama ni buku kulingana na maisha ya mtu.Mbona sioni mtu mwenye deni la maana hapa..? Yaani michango ya harusi na m-pawa ndio mnaita madeni?
Angalau kidogo LEMA akiongea ntamuelewa.
Vipi na kule ulikotusimulia kwenye ule Uzi mwingine, hawakopeshi? Una hadithi wewe, ukiandika kitabu, utauza. Kilangila.
Kule hawakopeshi broVipi na kule ulikotusimulia kwenye ule Uzi mwingine, hawakopeshi? Una hadithi wewe, ukiandika kitabu, utauza. Kilangila.
Sent using Jamii Forums mobile app
BalaaaTala wameahidi kuwatangaza wadaiwa wao sugu kwenye radio,tv na magazeti,
Chonde chonde jamani,atakae sikia jina langu kwenye radio au tv abadilishe station au channel au apunguze kabisa sauti kama siyo ku mute,
.,[emoji3][emoji3]
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna kitu Inaumiza kichwa kama deni aiseeHii inaniumiza sana kichwa natamani kumaliza deni lote kwa awamu moja
Sent using Jamii Forums mobile app