Awamu hii kama huna deni mshukuru Mungu

Awamu hii kama huna deni mshukuru Mungu

Mimi ndio Mdenimark OG,Maana nadaiwa hadi najiogopa,kwa kifupi sikopesheki na msinikopeshe nikikopa teteteteh.
 
Mimi ndio Mdenimark OG,Maana nadaiwa hadi najiogopa,kwa kifupi sikopesheki na msinikopeshe nikikopa teteteteh.
 
Nadaiwa na kikundi lak na nusu alafu kwa yule mzee bayala laki na sitini kisha kwa mwajiri wangu imebaki kama laki tano na sitini hv na saiv sina kitu ila nategemea kukopa tena. Kwani kitu gaani maisha ndo haya haya[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hahahaa. watu na damu zao za kukopa mie nadaiwa baiskel 2 na wanangu bas wanavyokumbushia!..lakini kukopa kopa sana sio fresh mie mwoga balaa wa madeni
 
na deni la papuchii...nilipiga nikamwambia ntamtumia kwenye mpesa,ila weekend na mlipa then na mkopa tena
 
Waungwana Salam sana,
Kipindi hichi kama huna deni pahali popote basi jua kabisa una kipato kizuri, na mshukuru. Sana Mungu
Mimi binafsi nina deni kwenye kikundi, laki moja,
Mchango wa harusi elfu 55,
Ada ya mtoto shule bado laki moja,
Kwenye jumuia (katoliki) nina deni la elf 80,
Kwa wale Wenye madeni kama mimi tupeane tupeane uzoefu wa jinsi ya kulipa madeni madogo na makubwa
Kwa hiyo wakiitwa watu wenye madeni na wewe unaitikia wito?

mvujajasho nguli
 
Back
Top Bottom