afrodenzi
Platinum Member
- Nov 1, 2010
- 18,145
- 9,207
kama mimi...
jamaa akipost nafananisha ka mr bean anaongea....l.o.l
Jamani naomba kuuliza nimejaribu kuchunguza avatar za akina dada wetu humu JF nyingi zina sura za mastar hasa wa kike au picha zinazoonyesha wazi sehemu za maungo ya siri, mfano (not offensive) kuna avatar moja inaonyesha mwanamke akivua nguo yake ya siri. Kwa upande wangu si vibaya lakini ninachojiuliza kwanini ni wengi kiasi hiki au huwa zina malengo ambayo mimi siyajui. Hii ni tofauti na avatar za wanaume kama ya Quinine, MKJJ, muhogomchungu, Masanilo, hmehod nk. Kwa mwenye sababu yake pls naomba nisaidiwe. Natanguliza shukrani.
Nyinyi nyote wapuuzi nitacheka hadi kuumia mbavu, wacha niende nyumbani kupumzika.Siku njema.We mbona avatar yako inakata kiuno... ndo ulivyo au we ni SAILOR?
Exactly hii ni moja ya avatar ambayo sielewi ina maanisha nini.Jamani kuna Avatar moja yaani imekaa kaa kimalaya malaya hata naona aibu kusoma post za huyo mwenye hiyo Avatar mbele za watu kwani nitadhaniwa naangalia pornography! Mi namuomba chonde chonde aibadilishe on her own volition ili sisi wengine tulio public figure tusione haya tusomapo posts zake hapa JF. Naomba kuiwasilisha hapa ili muone wenyewe!
hahahahahah lol
na mdoma kasha uandaaa hahahah lol
we ucheki tu lol
kaziii kwelikweli! wekeni kama yangu hii!
Thats why nimeweka my own image!
Thats why nimeweka my own image!
........................................................Thats why nimeweka my own image!
......aiseeeeee huyo aliyoweka avatar inayoonyesha wazi sehemu za maungo ya siri ana lake jambo.
Tena Vivian umenoga ussiki hawa jamaa ni wivuSame case to me my dada
Upo jamani?
mtoa mada mwenyewe avatar yake inafanya matusi,toa boriti kwenye jicho lako.......
i hereby overule all your submissions. according to JF registration procedures there is no clause that prohibits members to use certainn avatars.Each member is free to use any pictures she/he dims fit.