Jamani naomba kuuliza nimejaribu kuchunguza avatar za akina dada wetu humu JF nyingi zina sura za mastar hasa wa kike au picha zinazoonyesha wazi sehemu za maungo ya siri, mfano (not offensive) kuna avatar moja inaonyesha mwanamke akivua nguo yake ya siri. Kwa upande wangu si vibaya lakini ninachojiuliza kwanini ni wengi kiasi hiki au huwa zina malengo ambayo mimi siyajui. Hii ni tofauti na avatar za wanaume kama ya Quinine, MKJJ, muhogomchungu, Masanilo, hmehod nk. Kwa mwenye sababu yake pls naomba nisaidiwe. Natanguliza shukrani.