- Thread starter
- #61
Tunapokezana mimi na wewe,ukisisimka leo mi kesho......hamuhitaji volunteers??
Thats right ngoja niangalie kazi itakayoendana na wewe ila yataka moyo.
Tunapokezana mimi na wewe,ukisisimka leo mi kesho......hamuhitaji volunteers??
Thats right ngoja niangalie kazi itakayoendana na wewe ila yataka moyo.
Avatar ya mtoa mada.................Nasikia ma sailor ndo wanavyofanyaga wakiwa kazini otherwise chombo kitaenda mrama!
Darlingtone ya kwako nzuri, inanivutia kweli.
...............................................................
Darling sikati viuno natafuta ugali wa watoto...............ila kweli avatar zingine dah uvumilivu utatushinda.