Bishanga
JF-Expert Member
- Jun 29, 2008
- 15,323
- 10,050
nalala naoota......Huyo yeyote asiwe Bishanga tafadhali.
nalala naoota......Huyo yeyote asiwe Bishanga tafadhali.
sawa dada nimekoma.
ah ayyaaaaaaaaa OTIS haunitakii mema nikiweka hiyo wana jf wataacha hata kunijibu hapa maana hawataki utani hata kidogo kwenye swala la maendeleo....
Bishanga wataalamu tumefika hapo kwenye red! biolijia yake ni SHE!.
Nimekupata nashukuru sana
lini nimwombe mzee DC alete barua yangu ya posa?Mwaaaaaaa! Mi penda wewe manake huniangushi!
Popobawa vipi Figanigga ushamfungulia RB kwa kashfa ile ya temeke sokota na buguruni kwa madenge? Mia
jamani msiniogope ila me mwenzenu ni shemale
mfalme lazima ubwebwe, so usishangae sana kwa MAN6 kubebwa coz anastaili.
shauri yako jiangalie sana kijana...
shemale ni wanaume kwa kiungo cha uzazi,lakini ni wanawake kwa maumbile mengine ya mwili.yaani kimuonekano wa macho utasema ni mwanamke kabisa ila nguo zikitolewa mhh...ni dume...
kivipi mkuu,kinamama tu ndowanatumia neno 'hebu'?
Bado ndio namuundia TUME kwanza.
Mkuu! kamwandiko kakushoto hako!! nakulialia!