Avatar yangu ndio tatizo au??

ah ayyaaaaaaaaa OTIS haunitakii mema nikiweka hiyo wana jf wataacha hata kunijibu hapa maana hawataki utani hata kidogo kwenye swala la maendeleo....

Aliekuambia CCM inataka utani nani?
OTIS
 
Afrodenzi to do list

1. add Salito as a friend=:poa
2. answer Salito's thread=:poa
3. Give Salito like=:poa
4. More rep power for Salito=:poa

5. decorate Salito's name and this thread=:poa






0092.gif
Have a nice day :)
 
shemale ni wanaume kwa kiungo cha uzazi,lakini ni wanawake kwa maumbile mengine ya mwili.yaani kimuonekano wa macho utasema ni mwanamke kabisa ila nguo zikitolewa mhh...ni dume...

Kalugha kepesi wewe ni mrembo! you can correct mi!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom