salito
JF-Expert Member
- Dec 29, 2011
- 1,408
- 716
Jamani wana JF najihisi nagundu,maana kwenye acount yangu sina rafiki hata mmoja,ukizingatia sijui hata nawapataje,halafu mbona hamnijibu hoja zangu au ni za kimbwiga???Na nikianzisha topic hata hamchangii kulikoni??halafu wajameni mbona hata likes sipati??msinifanyie hivyo wajameni nisameheni bure kama kuna tatizo au avatar yangu ndio inatibua nyongo zenu??maana nyie nao mhhh......kidogo tu mnamaindi...