sweetlady
JF-Expert Member
- Dec 24, 2010
- 16,947
- 8,409
Sasa jamani si ungeniaga basi.... Ntakununia!...Aisee kwenye mihangaikao ya kusaka mahela
Sasa jamani si ungeniaga basi.... Ntakununia!...Aisee kwenye mihangaikao ya kusaka mahela
Huyo yeyote asiwe Bishanga tafadhali.Si kasema yeye ni shemale?kwa hiyo ana double!!for this case anaweza omba friendship kwa yeyote.
Nijuavyo shemale huwa na sura ya kike kukujua ni mpaka mtu akusaule nguo ndio ajue sasa utasemaje ni katikati ya waliokamilika?
jamani hebu naomba nielekeze basi nikutumie request ya kukuomba urafiki..
Sasa jamani si ungeniaga basi.... Ntakununia!...
Haya bana!Samahani niliondoka ghafla mama kwa hiyo nilikosa nafasi ya kukuaga
Bidada jamani me sio she mamito ni shemale,sijui kama unatufahamu vizuri,ila wengine wanatuitaga madume jike..jaribu kuchek kwenye net kwa habari zaidi za shemale ili upoe moyo wako na bishanga jamani..
wewe ni she haswaaaa ,hakuna cha shemale....umeona eeh??huyu bishanga huyu mhh???
jamani hebu naomba nielekeze basi nikutumie request ya kukuomba urafiki..
Kama wewe ni she huna ruhusa ya kumwomba Bishanga urafiki, maombi yapitie kwangu kwanza.
waitu milembe!Bishanga abashaija wwabonaki
Mwaaaaaaa! Mi penda wewe manake huniangushi!mwambie mchumba wagu SL akuelekeze.
Umeonae?haswaaaa....kwanza namshangaa!
mmmmmhhhhh,Jamani msitutenge na sisi pia tupo kwenye jamii....halafu mjue nipo serious mwenzenu...ni shemale kweli,nimeona nijitangaze maana mtaani sina raha watu kutwa wananinyooshea vidole.