Auza kiwanja ili afanye birthday ya mtoto wake

Auza kiwanja ili afanye birthday ya mtoto wake

Think2

JF-Expert Member
Joined
Jan 3, 2025
Posts
2,193
Reaction score
3,957
Hivi wadada izi akili mnazitoa wapi?? Unauza kiwanja ili ukafanye happy birthday ya mtoto ukweni kweli?

NI hivi huyu dada baada ya kuolewa huku dar, mwanaume aliemuoa alitoa mahari hio mahari alipewa yeye baada ya kuongea na dada yake wa mkoani akamshauri anunue kiwanja maana wanaume dar hawaeleweki alimsikiliza dada ake akafanikiwa kununua kiwanja kwa Tsh 800K.

Baada ya miaka mitatu kupita dada huyo akaja kuuza kiwanja ili apate pesa ya kumfanyia happy birthday mwanae haiingii akili unauza kiwanja ukafanye happy birthday ukweni hii ni akili?

Aisee mwanaume hakuna kuoa wanawake wenye akili kama hizi afu cha ajabu wamepanga kachumba kamoja.
😂😂😂😂😂
 
84ef7ec5eb118221dbb7cce993a60e5d (1).jpg
 
ivi wadada izi akili mnazitua wapi?? Unauza kiwanja ili ukafanye happy birthday ya mtoto ukweni kweli!!!
NI hivi huyu dada baada ya kuolewa huku dar, mwanaume aliemuoa alitoa mahari hio mahari alipewa yeye baada ya kuongea na dada yake wa mkoani akamshauri anunue kiwanja maana wanaume dar hawaeleweki alimsikiliza dada ake akafanikiwa kununua kiwanja kwa Tsh 800K.
Baada ya miaka mitatu kupita dada huyo akaja kuuza kiwanja ili apate pesa ya kumfanyia happy birthday mwanae haiingii akili unauza kiwanja ukafanye happy birthday ukweni hii ni akili au matope,ndo maana nasemaga wanawake wa dar wenye akili ni wachache sana.
asee mwanaume hakuna kuoa wanawake wenye akili kama hizi afu cha ajabu wamepanga kachumba kamoja.
😂😂😂😂😂
Huyu ameshajiweka kwenye mode ya kudanga
Muacheni dunia itamfunza
 
Hivi wadada izi akili mnazitoa wapi?? Unauza kiwanja ili ukafanye happy birthday ya mtoto ukweni kweli?

NI hivi huyu dada baada ya kuolewa huku dar, mwanaume aliemuoa alitoa mahari hio mahari alipewa yeye baada ya kuongea na dada yake wa mkoani akamshauri anunue kiwanja maana wanaume dar hawaeleweki alimsikiliza dada ake akafanikiwa kununua kiwanja kwa Tsh 800K.

Baada ya miaka mitatu kupita dada huyo akaja kuuza kiwanja ili apate pesa ya kumfanyia happy birthday mwanae haiingii akili unauza kiwanja ukafanye happy birthday ukweni hii ni akili?

Aisee mwanaume hakuna kuoa wanawake wenye akili kama hizi afu cha ajabu wamepanga kachumba kamoja.
😂😂😂😂😂
Kiwanja chake, mtoto wake, maamuzi yake.

Tatizo lako nini?
 
Sio kumfanyia "happy birthday" ni kumfanyia birthday.

Hiyo ndo dawa ya watu kama nyie.
 
Back
Top Bottom