Naweza kuwa mimi niko sahihi, labda kama unaweza ukanisahihisha tena kwa mara ya pili, unakaribishwa. Iko hivi:Nikusahihishe kidogo 128,000 feet ni sawa na 39.0144 Km na sio 60 Km
Vile vile ukitumia Newton's Laws of motion kwa kuchukulia kuwa huyu mtu alikuwa ana "fall under the influence of gravity", velocity halisi ya mtu huyu atakayofika nayo chini siyo ile niliyoisema hapo huu. Hapo juu yalikuwa makadirio tu ya average speed ukilinganisha na muda unaosemekana kwamba huyu mtu aliutumia kushuka chini.Nikusahihishe kidogo 128,000 feet ni sawa na 39.0144 Km na sio 60 Km
Ok kama google nayo inadangaya basi ww utakuwa sawaNaweza kuwa mimi niko sahihi, labda kama unaweza ukanisahihisha tena kwa mara ya pili, unakaribishwa. Iko hivi:
Futi 3 ni sawa na mita 1.4
Futi 128,000 ni sawa na mita 59733.33 ((128,000/3)*1.4)
Mita 59733.33 ni sawa na kilomita 59.7333, approximately 60 km
Mfano mdogo ni drone, km umeirusha halaf ikaisha charge ikiwa angani, automaticaly inarudi sehem iliyoanza kuruka, soSi nasikia spaceX wamefanikiwa kutuma satellite angani na chombo(ile rocket) kurudi pale pale iliporuka
Ndio maana nilifaulu kufeli hili somoVile vile ukitumia Newton's Laws of motion kwa kuchukulia kuwa huyu mtu alikuwa ana "fall under the influence of gravity", velocity halisi ya mtu huyu atakayofika nayo chini siyo ile niliyoisema hapo huu. Hapo juu yalikuwa makadirio tu ya average speed ukilinganisha na muda unaosemekana kwamba huyu mtu aliutumia kushuka chini.
Hivyo basi, velocity halisi atakayofika nayo chini inakuwa calculated from the third equation of motion kwamba:
V^2=2gh
V=sqrt(2gh)
V=SQRT[2*(10m/s/s)*59733.333m]=1194667m/s
Hivyo basi
V=1195m/s
V=1.2km/s
Finally;
V=4300 kilometers per hour (multiply the above value of 1.2km/s by 3600s)
dogo hujasikia elon musk ameshasolve hilo...zamani walishindwa tengeneza vyombo vyenye uwezo wa kurudi na kutua kutumika tena.,..ni kama unachukua gari hadi kimara ukifika unaliacha hapo..so sikuhizi vinarudiAsteroidi au chochote kikiingia anga la dunia kinavutwa kwa speed ambayo inasababisha hadi kiungue, sasa najiuliza mbona huyu jamaa kashuka toka umbali huo wa kilomita nyingi hivo hatujaona athari za msuguano na mvutano huo mkubwa tunaambiwa? Au labda walikuwa bado anga la duniani?
Hata kama walikuwa anga la duniani, vipi vile vyombo wanavyotuma nje ya mfumo wa dunia? Vinarudije wakati tumefundishwa kitu kikiwa nje ya mfumo wa dunia hakiwezi kurudi duniani bila kuungua kutokana na mvutano mkali pamoja na msuguano wa hewa iliyo duniani?
Wataalamu tafadhali nisaidieni.
Hapo kwenye Bara... pana uwalakini.Mshana Jr
Facts zilizoko kwenye habari hii zinapingana na ukweli. Haiwezekani kwa mtu huyu kushuka kwa kasi hiyo, kutoka umbali huo kutokana na sababu kadhaa kama zifuatavyo hapa chin:
MOSI: Umbali wa futi 128000 ni sawa na umbali wa km 60 kwa mantiki kuwa kila futi tatu ni sawa na mita 1.40
PILI: Hivyo basi, mtu akishuka umbali ndani ya dakika nne (4) na sekunde tano (5) au kwa ujumla ndani ya sekunde 245, maana yakke ni kwamba atakuwa anashuka na kasi ya:
km 0.2449 kwa sekunde moja au
km 14,70 kwa dakika moja (zidisha kwa 60 kas
Kasi hii ya km 881.60 kwa saa moja ni kasi ya ndege tuseme Boeing zile kubwa ambazo huwa zinafanya masafa ya kuoka bara moja kwenda bara jingine, tuseme kama kutoka Buenos Aires (Australia) kwenda New York City (Marekani)
Ukizingatia uzito wa mtu alionao, na hewa atakayokuwa anakumbana nayo njiani ikimpinga ( air resistance) atakapokuwa anashuka chini uwezekano wa huyu mtu kushuka ndani ya muda huo haupo. Natural laws zinagoma ku-support kasi ya aina hiyo kwa mtu huyu. Na kama anaweza akafanikiwa, basi atafika ardhini akiwa siyo mtu tena na wala hawezi kutua pale alipoktakiwa kutua. mavazi yote yatachanika
Hata hivyo nakaribisha hoja kinzani lakini, kama zipo
Ukiona kitu umeshindwa kukielewa, ujue umekosa logic yake, yaani logic yake huipati. Hakuna kitu unachoweza ukashindwa kukielewa, ukipata logic yake. Ndiyo maana kuna miujiza. Muujiza ni kitu ambacho kinapingana na logic, yaani kikitokea unakosa kupata logic yake. Kwa mfano Yesu laifanya muujiza wa kutembea juu ya maji. Tunauita muujiza kwa sababu logic haikubaliana na swala la kiumbe kutembea juu ya maji. Kwa hiyo next time kikitokea kitu ukoana hukielewi wakati una uhakika kabisa kuwa kitu hicho siyo muujiza, mtafute mtu anayekijua kwa ufasaha halafu akupe logic ya kitu hicho kwanza, hilo tu basi halafu utakuwa umemaliza kila kituNdio maana nilifaulu kufeli hili somo
bara===BaraHapo kwenye Bara... pana uwalakini.
Zaidi umeandika Buenos Aires ipo Australia badala ya Argentinabara===Bara
Naona memory zimeshaanza kuleta shida sababu ya umri! Disk space imejaa karibia nitaanza kuwa nina-overwrite. Ndiyo njia pekee iliyobaki ya kutatua tatizo hiloZaidi umeandika Buenos Aires ipo Australia badala ya Argentina
Vinawekewa heat shield yenye madini yakuhimili joto kali bila ya kuyeyuka, Shield inafikia hatua ya kuwa red hot lakini haiyeyuki - wakati mwingine badala ya kutumia special metal alloys wana sayansi wanatumia heat shields maalumu zilizo tengenezwa kwa madini ya ceramics.Ndio maana nikauliza swali ni namna gani vyombo hivyo vinarejea dunia bila kuungua.
Juzi kati kuna chombo cha China kilirudi na mchanga kutoka mwezini
Vile vile ukitumia Newton's Laws of motion kwa kuchukulia kuwa huyu mtu alikuwa ana "fall under the influence of gravity", velocity halisi ya mtu huyu atakayofika nayo chini siyo ile niliyoisema hapo huu. Hapo juu yalikuwa makadirio tu ya average speed ukilinganisha na muda unaosemekana kwamba huyu mtu aliutumia kushuka chini.
Hivyo basi, velocity halisi atakayofika nayo chini inakuwa calculated from the third equation of motion kwamba:
V^2=2gh
V=sqrt(2gh)
V=SQRT[2*(10m/s/s)*59733.333m]=1194667m/s
Hivyo basi
V=1195m/s
V=1.2km/s
Finally;
V=4300 kilometers per hour (multiply the above value of 1.2km/s by 3600s)
Assuming linear motion of the falling body, that is; the body falls down with a trajectory that is a straight line. Uko sahihi kabisaMmmh!
Hivi kitu kinachodondoka toka umbali mrefu hivyo, kitaanguka kwa kufuata kanuni za "linear motion"...
Kwa kadiri ninavyoelewa kitaanguka with a certain trajectory, hivyo hata calculations zake zitakuwa ni za kanuni za trajectory motion...
Pamoja na kwamba kani itayohusika kukishusha chini ni kani ya gravity