Chuo Kikuu cha kimataifa cha Omega nchini Afrika Kusini kimemtunuku shahada ya heshima ya uzamivu, PhD, Mbunge wa Moshi Vijijini Augustine Mrema kutokana na mchango wake katika jamii aliyoongoza na anayoendelea kuiongoza.
Sherehe za kumtunuku Mrema shahada hiyo katika uongozi wa kisiasa zimefanyika jijini DSM, ambapo mwakilishi wa chuo hicho Profesa VN Sibiya ndiye aliyemtunuku. Sherehe hizo zilihudhuriwa pia na familia ya Dkt. Mrema na wageni kutoka sehemu mbali mbali.
TBC
</B>More fake degrees?
There was an article in Monitor yesterday entitled "Monnakgosi becomes a Professor Of Divinity". This reported that:
"During a special ceremony at the church that he founded in the early 1990s, Omega Global University on Saturday conferred upon Dr David Monnakgosi a Professor of Divinity Degree for his lifelong service to God and the nation."However there's a catch. Omega Global University doesn't actually exist. It's a fake university. As far as I can establish it operates from no more than a cellphone number. It used to have various web sites (including omegabibletheologicalcollege.com and omegaglobaluniversity.com) but those sites have both recently been suspended.
Both of the suspended sites were registered to:
"Vusumuzi Nehemiah SibiyaThis seems to be the guy who answers the cellphone number and who described himself as "Professor Sibiya". No surprise, when you do some research you quickly find that there is no such person as "Professor Sibiya".
co 29 Maud Ave
Pietermaritzburg, KZN 3201
South Africa"
I'm not the first to spot them, you can see a story about another "honorary degree award" here.
Mayor Mdaka´s honorary "doctorate" under scrutiny
Dr BL Sibiya, who was conferring the "doctorates", poses for a photo with the executive mayor of Vhembe District Municipality, Dr Falaza Mdaka (middle), and his personal assistant, Mr Mabasa (right).
The mayor of the Vhembe District Municipality, Cllr Falaza Mdaka, was recently awarded an honorary doctor's degree by the Omega Global University, but many people have asked the question whether it is worth the paper it's written on.
The Witbank-based "university" awarded the honorary degree to Cllr Mdaka for "his perpetual effort to make the lives of other people better." The ceremony took place a fortnight ago and other people who have been honoured in this way include well-known choral master Shalati Joseph Khosa of Phalaborwa, Tinyiko Elphas Khosa, who started New Era College years ago, and Gabriel Ngomane, a businessman from Mpumalanga.
The term "honorary doctorate" normally refers to a very prestigious title conferred upon an outstanding individual by an institute of higher education. In South Africa, this is normally awarded by one of the registered universities. In the University of Johannesburg's Charter for Honorary Degrees, an honorary doctoral degree is described as:
"… an academic award that entitles the honoured person to bear the doctoral title honoris causa in recognition of his/her outstanding academic contributions that do not however meet the requirements set in the University Rules or the Act for the conferment of a doctoral degree as a result of the successful completion of a recognized programme of study of the University."
In certain cases, doctoral titles are also conferred upon people based on their contributions to the community. Again in the case of the University of Johannesburg, it is stated that such an award "… is based on relevant outstanding intellectual contributions and/or relevant outstanding contributions to public life."
The universities in South Africa are also very conservative in as far as the awarding of such degrees is concerned. Recipients of such degrees include former president Nelson Mandela and Archbishop Desmond Tutu. The charter also stresses this fact by stating: "A conservative awards policy is followed, in order to emphasize the extraordinary and inherent value of the awards."
The Omega Global University is not listed as a registered South African University. On their website, this institution invites people to apply for an honorary doctor's degree. It states that "Omega Global University offers honorary Doctorate degrees to deserving candidates based on their life experience." To qualify for such a degree, you also only need "at least 5 years of work or life experience relevant to (the) desired major." Interested parties can also apply online for such a degree.
Chuo Kikuu cha kimataifa cha Omega nchini Afrika Kusini kimemtunuku shahada ya heshima ya uzamivu, PhD, Mbunge wa Moshi Vijijini Augustine Mrema kutokana na mchango wake katika jamii aliyoongoza na anayoendelea kuiongoza.
Sherehe za kumtunuku Mrema shahada hiyo katika uongozi wa kisiasa zimefanyika jijini DSM, ambapo mwakilishi wa chuo hicho Profesa VN Sibiya ndiye aliyemtunuku. Sherehe hizo zilihudhuriwa pia na familia ya Dkt. Mrema na wageni kutoka sehemu mbali mbali.
TBC
Bora hata ya Mrema walau anastahili hiyo Honoris causa kwakuwa alishaifanyia kitu hii nchi,kuliko yule mwingine ....
<B>Hii ni hatari kubwa sana kwe elimu!
</B></H3>
The Omega Global University is not listed as a registered South African University. On their website, this institution invites people to apply for an honorary doctor's degree. It states that "Omega Global University offers honorary Doctorate degrees to deserving candidates based on their life experience." To qualify for such a degree, you also only need "at least 5 years of work or life experience relevant to (the) desired major." Interested parties can also apply online for such a degree.
Chuo Kikuu cha kimataifa cha Omega nchini Afrika Kusini kimemtunuku shahada ya heshima ya uzamivu, PhD, Mbunge wa Moshi Vijijini Augustine Mrema kutokana na mchango wake katika jamii aliyoongoza na anayoendelea kuiongoza.
Sherehe za kumtunuku Mrema shahada hiyo katika uongozi wa kisiasa zimefanyika jijini DSM, ambapo mwakilishi wa chuo hicho Profesa VN Sibiya ndiye aliyemtunuku. Sherehe hizo zilihudhuriwa pia na familia ya Dkt. Mrema na wageni kutoka sehemu mbali mbali.
TBC
Naomba muongozo, Hiko Chuo Kipo wapi South Africa? mimi nimekaa South Africa for 13 Yrs na kusoma huko sijawahikukisikia Hiko chuo Naomba muongoz wa chuo kipo wa? Sio mnadanganywa na kuanza kushabikia kitu kisichokuwapo. Nimejaribu ku-google lakini sijakipata