Augustine Mrema Atunukiwa PhD

Hii habari ipo kimakosa humu, maana hata hamtaki tujue Chuo kilichomtunuku, hamtaki kutwambia kila kitu mnajadilina nyinye mnalolijuwa wenyewe sasa kwanini mmelileta hapa!!
 
HAHAAAAAAAA nchi ndio inakwisha hiyo akichukua SLAA hizo PhD zote zitafutwa kwa wale wote waliopewa kama zawadi then wanaambiwa wakasotee darasani
Kwahiyo atakua anaitwa Dakta?!! hii nchi ina ujinga mwingi sana
 
Naona mzee wa Kiraracha ametunukiwa PhD ya heshima, kwa kile kilichoelezwa kutambua mchango wake katika jamii! Ngoja niongeze uzalishaji wa mahindi shambani mwangu niokoe watanzania wasife njaa, huenda nami nitatambuliwa!

Imekaa vizuri atakapotambulishwa "Mwenyekiti wa kamati ya hesabu za Serikali za Mitaa na Mbunge wa Vunjo DR. Augustino Lyatonga Mrema"
 
Jamani tuache majungu, kama kutoa PhD ya heshima ni ujinga basi watu wengi sana watakuwa wamepataujinga huo na kwa misingi hiyo Mwalimu J.K. Nyerere nae ni mjinga kwa kuwa UDSM waliwahi mpatia Degree hiyo. Kuna mmoja kasema kwa ujinga wetu yaani wangu na wake, iko siku utamkuta Mh. Lyatonga Mrema anafundusha UDSM. Kwanza niulize atakua anafundisha nini? maana UDSM inamihadhara ya kijamii ambayo inaitishwa na kitivo husika na kinauwezo wa kumuita yoyote kutoa mhadhara bila kujali elimu, dini, umri, itikadi za kisiasa nk, pili kama ni Mihadhara ya kutunuku shahada, atashahada au vyeti vya kitaaluma lazima anaefundisha awe Mhadhiri yaani awe na PhD ya utafiti ya siyo ya heshima, au awe mhadhiri msaidizi yaani awe na Masters Degree au awe tutorial assistant. Niwashauri kitu ndugu zangu kwanza tutafute maana ya PhD ya heshima, anaepewa anapaswa awe na sifa zipi?, anayepewa analobby apewe? Utaratibu gani unatumika ili kumpa mtu huyo heshima hiyo? Mwisho niulize swali kwenu waungwana ukipewa wewe degree ya heshima baada ya kusomewa kilicholeteleza kupewa tunuku hiyo utaikataa? akipewa kiongozi wa chama unachokifagilia utamshauri aikatae au utamkosoa kuwa huo ni ujinga kama tulivyoelezwa hapo awali? Kuna mtu ameandika hivi Hon., Dr. Hc. (Politica Damnum), Mrema, L. ni sawa ila hiyo Hc yaani Honoris Causa inapswa kuwa kwenye mabano Hon., Dr. (hc) (Politica Damnum), Mrema hiyo politica damnum umempa wewe sipingani nawe maana unamaana yako. Ninachomaanisha hapa ni kuwa haiwezekani aweke PhD pale mwishoni kama wanataaluma au magufuli anavyoandika yaani Hon., Dr. Hc. (Politica Damnum), Mrema (PhD)
 
Dah! ivi wanaenda kuzichukulia wapi izo phd? kwa mtindo huu kweli watafahamu nini gharama ya elimu, wataweza kweli kusikilza madai yetu ya kuongezewa boom mpaka 10,000 thauu, kama kweli kupata Phd apa bongo ni shughuli mpaka nywele znaisha kichwani kwa kaandaa report na research, wao wanafanyeje, mbona report zao ni simple ivoo? afu mbona vichwa vyao viko fresh bado??? dah juz alikuwa bachelor holder, jana mastaz, leo Phd, how? au hii elimu ya kibongo ndo ngumu? wenzetu wanaenda kuzichulia wapi? HAPANA!!! JK tuambie ulikuwa na mastaz lini na report yako ya kupewa phd uepeleka lini na ikakubaliwa, mbona mnashusha hadhi ya elimu bongo hivo??? Doctor!, Doctor!, doctor!. Sie tunaowafahamu ni Dkt SLAA na Shein tu. wengine ni zuga na masifab tu, may be muitwe madokitlessssss!
 
Huitaji kuwa na shahada ya uzamivu ili kuitwa daktari hasa kwa Tanzania. Na katika hili wapo wengi inlcuding Nkulu Hongera dkt Mrema
 
hongera baba daktari mrema. mafanikio yako makubwa kuanzia kusafisha barabara dar, sungusungu, vtuo vya polisi, kusuluhisha migogoro, ubunge vyama vitatu tofauti, kukamata mafisadi. nani kama daktari mrema kiongozi wa upinzani anayeoongoza kupata asilimia kubwa ya kura za urais hata kumzidi daktari wa sacrament.

ninakuombea serikali mitaa kusikalike.
 
Sasa ataitwa Dr Mrema duh kweli siasa ina fursa nyingi kiuchumi , kijamii na sasa kielimu . Bado kidogo na makamba atatunukiwa atatunukiwa


yaani hii inasikitisha sana sana..inaumiza jamani yaani hawa ma dk wa mliman na kwingineko sijui wanajisikiaje..mbaya zaidi asilimia80 ya ma prf,dk wamechelewa kuzaa sababu ya elimu na sasa wana watoto wao kama wajukuu wakitembea nao..iweje mtu kama mrema kashazalisha watu ovyo mpaka wengine wakaamua kujifia kuondoa kashfa leo hii wanatunukiwa PHD..Anyway sio njema jamani na jua ahili mtaliangalia....nyie mnaotoa nawaeleza wazi kama amuamini nendeni mlimani pale kwenye klabu yao uone wanavyohangaika na mabinti wadogo sio prof wala djk..si kwamba wanapenda muda wa starehe waliotakiwa waliishia kula vumbi la vitabu leo hii wana dk,prof zao waanarudisha maisha nyuma huku ayarudishiki..mwisho wake aibu..msifanye hivi tena jamani..bora mnipe mimi mtoto wa MKULIMA
 
Ametunukiwa na chuo kimoja cha SA jana pale Lamada hotel.
Haina ubaya kwani ni doctorate ya heshima na Mrema anastahili kwani aliyoyafanya hapo nyuma huwezi kuyafuta katika historia ya nji hii
 
yaani hii inasikitisha sana sana..inaumiza jamani yaani hawa ma dk wa mliman na kwingineko sijui wanajisikiaje..mbaya zaidi asilimia80 ya ma prf,dk wamechelewa kuzaa sababu ya elimu na sasa wana watoto wao kama wajukuu wakitembea nao..iweje mtu kama mrema kashazalisha watu ovyo mpaka wengine wakaamua kujifia kuondoa kashfa leo hii wanatunukiwa PHD..Anyway sio njema jamani na jua ahili mtaliangalia....nyie mnaotoa nawaeleza wazi kama amuamini nendeni mlimani pale kwenye klabu yao uone wanavyohangaika na mabinti wadogo sio prof wala djk..si kwamba wanapenda muda wa starehe waliotakiwa waliishia kula vumbi la vitabu leo hii wana dk,prof zao waanarudisha maisha nyuma huku ayarudishiki..mwisho wake aibu..msifanye hivi tena jamani..bora mnipe mimi mtoto wa MKULIMA

teh teh kama unaupenda udokta anza siasa kwa fujo nakuhakikishia chini ya 5 yrs unatunukiwa ukiwaacha wale wa ud wakikuna vichwa
 
Mayor Mdaka´s honorary "doctorate" under scrutiny


Dr BL Sibiya, who was conferring the "doctorates", poses for a photo with the executive mayor of Vhembe District Municipality, Dr Falaza Mdaka (middle), and his personal assistant, Mr Mabasa (right).

Article By: Staff reporter
Date: 19 February 2010​
Article Vote
Current Rating
none.gif
The mayor of the Vhembe District Municipality, Cllr Falaza Mdaka, was recently awarded an honorary doctor's degree by the Omega Global University, but many people have asked the question whether it is worth the paper it's written on.

The Witbank-based "university" awarded the honorary degree to Cllr Mdaka for "his perpetual effort to make the lives of other people better." The ceremony took place a fortnight ago and other people who have been honoured in this way include well-known choral master Shalati Joseph Khosa of Phalaborwa, Tinyiko Elphas Khosa, who started New Era College years ago, and Gabriel Ngomane, a businessman from Mpumalanga.

The term "honorary doctorate" normally refers to a very prestigious title conferred upon an outstanding individual by an institute of higher education. In South Africa, this is normally awarded by one of the registered universities. In the University of Johannesburg's Charter for Honorary Degrees, an honorary doctoral degree is described as:

"… an academic award that entitles the honoured person to bear the doctoral title honoris causa in recognition of his/her outstanding academic contributions that do not however meet the requirements set in the University Rules or the Act for the conferment of a doctoral degree as a result of the successful completion of a recognized programme of study of the University."

In certain cases, doctoral titles are also conferred upon people based on their contributions to the community. Again in the case of the University of Johannesburg, it is stated that such an award "… is based on relevant outstanding intellectual contributions and/or relevant outstanding contributions to public life."

The universities in South Africa are also very conservative in as far as the awarding of such degrees is concerned. Recipients of such degrees include former president Nelson Mandela and Archbishop Desmond Tutu. The charter also stresses this fact by stating: "A conservative awards policy is followed, in order to emphasize the extraordinary and inherent value of the awards."

The Omega Global University is not listed as a registered South African University. On their website, this institution invites people to apply for an honorary doctor's degree. It states that "Omega Global University offers honorary Doctorate degrees to deserving candidates based on their life experience." To qualify for such a degree, you also only need "at least 5 years of work or life experience relevant to (the) desired major." Interested parties can also apply online for such a degree.


Source: www.zoutnet.co.za
 
jamani kuna watu wanatoa maoni hata maana honourable docrate maana yake. huu ni udaktari wa heshima kwa mambo uliofanya kipindi cha nyuma. unaweza kupata udaktari hata darasa saba ili mradi uvumbue kitu cha maana duniani au jamii inayokuzunguka. eti kuna watu chuo kikuu wana deserve changia kitu ujuacho, wanaoponda hawajui maana yake.
 
Dr Hon Augustino Lyatonga Mrema ohoyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Wakuu,

Tuweke mambo ya Dowans pembeni na hali ya kisiasa ya hapa nchini, tuungane na familia ya DR. Lyatonga mrema kwa kutunukiwa Shahada ya uzamivu PHD katika chuo kimoja nchini uganda hivi karibuni.

Nakupongeza sana mzee kwa kiraracha naona PHD yako itakusaidia kuweka changamoto katika chama chako kama mwenyekiti, Bungeni kama mwenyekiti wa kamati ...... na katika Jimbo lako kuongeza mipango mikakati ya kimaendeleo ya wana Vunjo.

Nakutakia maisha marefu DR wa ukweli ----- TLP juu!!!! Vunjoo juuu!!!!!

Asanteni kwa kunisikiliza.
 
Waliopinga degree yako ya kwanza eti haikukidhi viwango - sasa waje wapinge na hii - nasema WASHINDWE na WALEGEE kama Dowans.
 
hivi karibuni chuo kikuu kimoja kule nchini afrika ya kusini kilimtunuku mh mbunge wa vunjo augustine lyatonga mrema shahada ya uzamivu ya heshima. jambo la kushangaza naviona vyombo vya habari nchini vinashindwa kuanza kulitaja ama kuandika jina la mheshimiwa dr lyatonga mrema waziri wa zamani wa mambo ya ndani,na mwenyekiti wa hesabu za serikali za mitaa kwa hadhi yake inayoyomstahili.
siwezi kusema mengi ila wanajamii forum nawasihi tulizungumzie pia na hili.
au kana kwamba dr mrema uzamivu wake unatofautiana na wa jk,salim ahmed salim, emanuel nchimbi, dr benjamini mkapa na wengine wengi kwa lipi jamani.... hata wale wengine wakaandikwa magazetini na television pia hata redioni kwa heshima zao kuanza na jina dr.......
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom