superfisadi
JF-Expert Member
- May 22, 2009
- 553
- 52
lyatonga sifa waliyoitaja kuwavutia kabla hawajamtunuku huo Udr , ni kuwa aliwahi kupewa cheo cha unaibu waziri mkuu cheo ambacho hakipo kisheria ila kwa uchapakazi wake alikikalia na haitegemewi mtu mwingine kupewa