Mmh wahengaHiyo caption kijana kaiandika kwa hisia sana. Kuna kitu kinaendelea kati ya Hawa wawili ama ndo Besties kama alivyoandika hapo kwa herufi kubwa?
Last time I checked Jada na Willy walikua na Open Relationship.
Cc NalendwaView attachment 871426
Mambo ya fedha angekuwa huku kwetu Kwamtogole angekuwa mmoja wa wazee wa mtaaJada si atakuwa kikongwe sasa hivi? Maana at the time tunatembea kilometa 20 kwenda kwa mhindi kuangalia "Video" ya Set it off, I was around my mid 10s, now am crossing my babas age to Babu,na bado yupo!! Huyu ni bibi aisee!
Kweli usemacho dada, mi nampenda Janet Jackson tangu niko secondary.... na bado mpaka leo namuona yupo hot.... wakati wadada nliokuwa nao secondary leo nawaona wabibi!Mambo ya fedha angekuwa huku kwetu Kwamtogole angekuwa mmoja wa wazee wa mtaa
[emoji16][emoji16][emoji16] hawanywi maji mengi hawalal mapema hawali vizur lazma wazeeke kabla ya mudaKweli usemacho dada, mi nampenda Janet Jackson tangu niko secondary.... na bado mpaka leo namuona yupo hot.... wakati wadada nliokuwa nao secondary leo nawaona wabibi!
Life style zetu ni tatizo[emoji16][emoji16][emoji16] hawanywi maji mengi hawalal mapema hawali vizur lazma wazeeke kabla ya muda
Mamaake Jada unamjua?Yaani uko kama mie Mzigua. Hawa wawili huwa nashindwa kuwaelewa kwa kweli.
Halafu juzi kati hapa walisema wameanza kuitana 'Partners in Life', and don't refer themselves as 'Married'
Halafu inakuja Birthday wish kama hii..
Wazungu hawanaga za kuangalia mileage mkuuJada si atakuwa kikongwe sasa hivi? Maana at the time tunatembea kilometa 20 kwenda kwa mhindi kuangalia "Video" ya Set it off, I was around my mid 10s, now am crossing my babas age to Babu,na bado yupo!! Huyu ni bibi aisee!
Itakua huyu ndo anamrudisha mwanamama kwenye ujana. Hiyo kapsheni Ina chembembe nyingi Sana za mahabaYaani uko kama mie Mzigua. Hawa wawili huwa nashindwa kuwaelewa kwa kweli.
Halafu juzi kati hapa walisema wameanza kuitana 'Partners in Life', and don't refer themselves as 'Married'
Halafu inakuja Birthday wish kama hii..
Najaribu kuifikiria itanukiaje, maana Kijana naye si haba.Kwahiyo hamna harufu ya mapenzi kabisa?