WiseLady
JF-Expert Member
- Jan 22, 2010
- 3,268
- 531
Mmmh WL majaribio kwakweli hayaruhusiwi maana kuna hatari ya kuibiwa!Hehehe kuhusu kumatch embu akwambie mwenyewe usije ukasema najifagilia tu!
unaibiwa na nani lizzy jamani?kumbuka ili tujue lazma ajaribiwe,,,,khs ww haina shida amesema uko kny kundi la kukwepwa ndo maana anataka uwepo kny mkesha,,karibu sana naamini bda ya hapo hutakwepwa tena,,lolz